Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,706
- 2,353
Kuna mwingine kwenye hii thread nimemchana, wanatupia threads mwanzo kila baada ya saa moja au mbili, halafu wakishapa viewers wengi wanaanza nyodo ooh hawana muda, mara hamunilipi, mara njoo WhatsApp n.k Kwa ajili yako MaimunaHili li pimbi mbona lilikimbia story