Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 722
- 906
Bomba kabisaa Hongeraa MagereHatimae LWANDA MAGERE AMETOA KITABU JIPATIE NAKALA YAKO KWA 5000Tsh 0757453320 View attachment 1686199View attachment 1686200
Bomba kabisaa Hongeraa MagereHatimae LWANDA MAGERE AMETOA KITABU JIPATIE NAKALA YAKO KWA 5000Tsh 0757453320 View attachment 1686199View attachment 1686200
Nipe namba mkuuKule telegram mambo ni moto wazee..story inaendelea.
Toa kule tupiaga hapa mkuuKule telegram mambo ni moto wazee..story inaendelea.
2000 darasa la 4...safi sana kamanda..Mkubwa kumbe umesoma Turwa,huo mwaka 2000 ulikuwa darasa la ngapi mura.
Mimi mwaka 2000 nilikuwa darasa la nne wakati mwalimu mkuu akiwa ni tayari Maiga huku msaidizi wake akiwa ni mama yake Reginald Mutakyawa
Wa huku mikoani inakuwaje!Hatimae LWANDA MAGERE AMETOA KITABU JIPATIE NAKALA YAKO KWA 5000Tsh 0757453320 View attachment 1686199View attachment 1686200
Mkuu LwandaMagere
Shukrani kwa kisa ulichokileta jukwaani. Binafsi nimeinjoi kukisoma. Lakini zaidi nimefurahia kuisoma mitaa niliyokulia pia. Nimekaa Bomani hapo na nimesoma Buhemba mazoezi, hivyo mitaa unayoitaja mingi nimeiishi. Maisha ya Tarime yalinijenga mno, hasa namna ya kukabiliana na ubabe kwa ubabe, so kusoma hapa mitaa hii imenipa kumbukumbu nzuri.
Kuhusu critics, usiziweke sana akilini. Ukiona mtu anakuponda huku anasoma hadi episode ya mwisho, jua anakukubali kiaina. So write what and how you feel. Tusiofurahia ulichoandika tutakuponda ila bado tutarudi tena kukusoma. Jukwaa lahitaji waandishi wengi so keep them stories coming.
Basi sawa ila siku nyingine usirudie tenaAhsanteni sana mods kwa kuniondelea Ban,niliwamiss sana wadau wangu
Kwan alifanya nnBasi sawa ila siku nyingine usirudie tena
Kuweka linkKwan alifanya nn
Naipata wapi mkuuDawa iyoooo
NIMRAPATUE itabidi mzee Oni Sigala atusaidie maana ya hili neno
Mkuu mbona sehemu ya kumi ipo!.Hv ni kwangu pekee au na kwenu sehemu ya 10 haipo?
Siioni mkuu hata nikisearchMkuu mbona sehemu ya kumi ipo!.
Kwahiyo 11 inaonekana?Siioni mkuu hata nikisearch
NdioKwahiyo 11 inaonekana?