Mikakati thabiti ya siasa UKAWA

Mikakati thabiti ya siasa UKAWA

Watakuwa wamepata somo UKAWA wako mafichoni wakiibuka ni kufuta kila kata,jimbo na urais
 
Mimi binafsi zimuungi mkono Dr Slaa. Ila nawaunga mkono wanaochochea kuni

Kuni hizo mbona MBICHI?Chochea chochea kuni mbichi...by Mpotto:clap2::clap2::clap2::clap2:
 
maccm kama mafisi yanasubiri ujisaau.Dr Slaaa hayo yote anayajua vizuri yuko imara sana kwenye uwanja wa vita
 
Najua na rafikiyo katupwa,ila kutupwa kwake najua sababu..........Mshauri aje na yeye huku kwetu CHAGGADEMA.....

Ila aliyechukua Viatu vya SHOSTIKO wako najua hata viweza na sidhani kama atapata huko...............

Mzee wangu,hiyo ya TAA...KUUKUU mbona ipo mpaka kwenye TBCCM walisema?

Mtani wangu Chikawe ameponzwa na Polisi wake. Teh teh

Mzee Tupatupa
 
Sasa unamsupport Lowassa halafu humpi wabunge wakutosha inakuwaje?Lazima kama unasupport kwa kila hali basi KULA YAKO YA UDIWANI ,UBUNGE,URAIS vyote viende CHAGGADEMA au?????????????

Duh!Rafiki yangu Mussa Allan umebanwa kweli...Huko ndiyo uko kimwili tu,kiakili uko huku.

Ukiwa mkuu wa wilaya halafu rais CDM,Mbunge CCM utafanyaje kazi?:doh::doh:

CCM :A S 103::A S 103::A S 103: by Mussa Allan

Naona umeamua kuitukana Chadema rasmi,, Kama unampenda sana Slaa nenda kanywe nae chai... Slaa angekuwa anakubalika asingeshindwa uchaguzi mwaka 2010
 
Usiunge mkono kila hoja. Utakuwa taahira

Nadhani wa kuulizwa zaidi ni nyie CHADEMA ambao siku zote mlikuwa mnamtukana Lowasa. Na sasa amekuwa Mgombea wenu. Usitukane Mamba kabla hujavuka mto

Hahaaa mwaka huu hata shetani anawacheka yaani mmedondosha rubi baharini? Nyangumi keshaimeza na kumuua hamwezi kwa wingi wao labda mmwage sumu wafe wote na halala mkijaribu watakufa na viumbe mnavyovitegemea vita vya kunguru...
 
Nadhani wa kuulizwa zaidi ni nyie CHADEMA ambao siku zote mlikuwa mnamtukana Lowasa. Na sasa amekuwa Mgombea wenu. Usitukane Mamba kabla hujavuka mto

Kwa kusema kwake ukweli leo humtaki kada mwenzako mzee tupa tupa? Ama kweli maji yamefika shingoni.

Inakuwaje hoja hapa ni tangu lini Dr Slaa amekuwa kipenzi cha CCM? Mzee vuta nikuvute naona kapiga ikulu mkuu Lizaboni, hivi kuna siku imepita bila ya wewe kupost habari za Dr Slaa? teh teh teh hapo lazima ukasirike. BRAVO mzee tupa tupa
 
Nadhani wa kuulizwa zaidi ni nyie CHADEMA ambao siku zote mlikuwa mnamtukana Lowasa. Na sasa amekuwa Mgombea wenu. Usitukane Mamba kabla hujavuka mto
Kwa kuwa una akili fupi haujaelewa mada,
 
Siku hizi unawashwa sana, nahisi unavipele makalioni. Kutwa nzima unatunga upuuzi, ndio maana hata makada wa CCM kama Vuta nikute wanakuona kama malaya aliyekosa mwanamume wa kumkuna.

Kama huna kazi ya kufanya bora utafute kazi hata ya UYAYA, kuliko umalaya wa kutunga uongo mpaka watu wanakuona mpuuzi wa karne.

Ungeutumia muda unaopoteza angalau kumpamba magufuli hata kumwongezea sifa, wana CCM wangekuona wa maana. Kuliko kuifedhehesha CCM na makada wake. Maana taswira unayoonyesha kana kwamba CCM ndo wanakutuma. Unawapaka kinyesi CCM bila kujijua kwa ujinga wako


Nadhani wa kuulizwa zaidi ni nyie CHADEMA ambao siku zote mlikuwa mnamtukana Lowasa. Na sasa amekuwa Mgombea wenu. Usitukane Mamba kabla hujavuka mto
 
Nadhani wa kuulizwa zaidi ni nyie CHADEMA ambao siku zote mlikuwa mnamtukana Lowasa. Na sasa amekuwa Mgombea wenu. Usitukane Mamba kabla hujavuka mto
Chadema kivipi tena Lizaboni, huyo VUTA-NKUVUTE amekuwa akijipambanua kama ni mzee tupatupa wa Lumumba(Ofisi ndogo ya ccm) Dar es salaam.
 
Mimi binafsi zimuungi mkono Dr Slaa. Ila nawaunga mkono wanaochochea kuni
Mkuu Lizaboni,nimekuwa nikiziamini sana taarifa zako na inaonekana unauelewa mpana sana juu ya siasa za Tanzania.
Swali langu kwako,japo ni vigumu mtu kukubali kushindwa hata kama anajitambua kuwa yu dhaifu dhidi ya mpinzani yake,je unafikiri ccm inanafasi gani ya ushindi katika uchaguzi mkuu ujao hasa katika ngazi ya urais? Mpambano kati ya Magufuli na Lowassa unabashiri nini ukiachilia mbali uchama?
Ni hayo tu mkuu Lizaboni.
 
mheshimiwa unauliza lini slaa kawa kipenzi cha ccm!!
Ni ile siku lowasa alipoacha kuwa fisadi mbele ya chadema na kuwa kipenzi chao.

There is neither a permanent enemy nor a permanent friend. That is life.
safi sana mkuu
 
Back
Top Bottom