Mikakati thabiti ya siasa UKAWA

Mikakati thabiti ya siasa UKAWA

JK amenichekesha sana leo,,eti dunia nzima inajua Tanzania tunapata maendeleo wakati sisi wenyewe watanzania hayo maendeleo hatuyaoni.

Huyu sio mzima.mfano wake nikama vile huko nyumbani na mke na watoto mmelala njaa ukatoka kutembea akurudi nyumbani .ikawa unahadisia familia yako .unajua watu wanajua sisi atujalala. Na njaa tena wanajua sisi matajiri.yaani sijui mtu anaipa kura ccm ana akili ya namna gani.au sijui wanatumia hii fursa ya watanzania walio duma akili na mwili kutokana na umaskini ulio pelekea kukosa lishe bora.maana juzi juzi wametoa takwimu inaonesha 46% ya ukuaje wa akili na mwili Tanzania ni wahathirika wamedumaa.kutokana ukosefu. Wa lishe bora.nafikiri ccm wanatumia mwanya huu. Sio bure .maana aiwezikani watu wanapigika na shida. vibaya hivi lakini bado wanaipa kura ccm.tena mbaya zaidi unakuta mpaka wafanyakazi wasomi tuu ili yupo kazi anapata virushwa na uwizi mdogo mdogo .anajiona amefika kweli kweli .apati ufahamu kuwa inakuwaje mimi nafanyakazi lakini kula yangu na vaa yangu. Inatokana na rushwa na dili .yaani ni upuuzi mtupu unakula rushwa unaiba ili hule na uvae vizuri uweze kufanya kazi vizuri.awaoni ni biashara kichaa hii.bado hawapati ufahamu ili mradi ana nafasi yake kunarushwa na vidili anaipigia kura ccm.ccm ndio maana awajishuhulishi kupiga vita umasikini .kwani. Ndio mtaji wao wa ushindi.
 
JK amenichekesha sana leo,,eti dunia nzima inajua Tanzania tunapata maendeleo wakati sisi wenyewe watanzania hayo maendeleo hatuyaoni.

Anamuangalia mtoto wake Ridhiwani alivyonamaendeo basi anadhani ni watanzania wote wako hvyo
 
Ukawa tuko vizuriiiii wewee dah tena kyela kuleee tuna jembe abraham mwanyamaki ni ukawa tutawachakaza mwakyembe na team yake hatariii
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Edi

Slaa ccm mnataka wa nn, mbona unalialia kwani umejipangaje?
 
wakuu docta slaa ataonekana rasmi kipindi cha kampeni,saivi yuko mapumziko huku akufanya shughuli ndogondogo za kichama
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Edi

Usimlaumu sana kumbuka maisha kwa kipindi kirefu alikuwa kasisi sasa mambo haya ya akina mama hana uzoefu wa kutosha.
 
JK amenichekesha sana leo,,eti dunia nzima inajua Tanzania tunapata maendeleo wakati sisi wenyewe watanzania hayo maendeleo hatuyaoni.

Kabla ya kuropoka hilo neno,angekaa chini akajitafakari kisha akachukua hatua.
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Edi

Leo amekuwa mzigo hee bongo kweli hakuna bongo ni kufuata bila kuhoji
 
JK amenichekesha sana leo,,eti dunia nzima inajua Tanzania tunapata maendeleo wakati sisi wenyewe watanzania hayo maendeleo hatuyaoni.

Mkuu tuonane , wanatutumia watu kutufuatilia kwa kumuunga mkono Lowasa , tupo ccm lakini Lowasa ndiyo chaguo let.
 
Sasa kwa muda wote huu unaoutumia kwa porojo zingine zinawahusu wazazi wako utaacha kupata laana yakulala njaa?
 
Marando km Mzimu sijui atasimama wapi tena..Boss wa TISS mpya?Spika wa Bunge,jaji Mkuu, au Mwansheria mkuu wa Serikali..Vipi Lissu naye Jaji Mkuu..,wapika wa Bunge, waziri wa sheria na Katiba...
 
Back
Top Bottom