Mikakati thabiti ya siasa UKAWA

Mikakati thabiti ya siasa UKAWA

kinana yuko wapi?anisaidie kulima shamba maana akikukuta una dumu la maji ana kupokea, mna zika ana shika koleo,du pole comledy
 
Dr Slaa ameshikilia furaha yangu ya mageuzi tarajali.
 
kuna uwezekano mkubwa akakatwa tena lol
 
Jamani, huu ni ushauri tu. Haya mambo ya kuandika andika vitu, hasa kashfa bila kufikiria madhara yake ni hatari sana. Je unajua Mzee Slaa akipeleka madai yako mahakamani unaweza kufungwa au kulipa faini? Kuweni waangalifu jamani, msichukulie mambo kienyeji kienyeji yanaweza yakawaliza machozi ya damu. Ni bora kuropoka baadaye ukakana kuwa hukusema, lakini ukiandika unakuwa umejihukumu. Mahakimu bado wana wajibu wa kufanya kazi kwa uadilifu pamoja na kuwepo na umaskini na shinikizo za kisiasa, lakini wengi wana wajibu wa maadili kwenye utendaji kazi wao. Jihadhali usijekuwa wa kwanza kwenye mageuzi!

je wajua wajua maana ya defamation?elements na defence zake? na je waelewa maana ya hiyo disclaimer 'TETESI' hapo? ukielewa vyote njoo tuendelee na hoja,Jana mnyika kaibukia mkutano wa kamati kuu ya chama ambapo imeelezwa alikua anaumwa na kashapona,acha tumsubirie Docta sasa
 
Chadema wanatumia propaganda kali za kuteka media zote hadi baada ya uchaguzi......wana create mazingira fulani fulani ili watu wawe na shauku na habari za chadema....big up chadema.......
 
hivi wakati wa mchakato wa urais ulimsikia? Alie kuwa anasikika ni Lowassa na Membe, lakini wote wako wapi na magufuli yuko wapi. Subiri matokeo ndio ulete kilio chako humu JF.
 
hivi wakati wa mchakato wa urais ulimsikia? Alie kuwa anasikika ni Lowassa na Membe, lakini wote wako wapi na magufuli yuko wapi. Subiri matokeo ndio ulete kilio chako humu JF.


CCm mnajikakamua sana lakini kwa kifupi Magufuli ni sawa sawa na jipu hana analolijua...Hana focus ya kuwa rais analojua kusema ni Niaminini na sitawaangusha..utumbo mtupu ..ni bora kuuza utumbo na kufukuza nzi kuliko kumnadi magufuli
 
Tingatinga at work! Bado kuna kelometa maelfu za kuzindua na kukabidhi kwa serikali imalizie, kabla hajaanza kampeni!!
 
Ccm wamefyata baada ya lowassa kutangaza nia kupitia ukawa. Hivyo wamemzuia magufuri kuendelea kutembea nchini walijua kama lowasa nae akifanya hivyo basi magufuri atabaki kuzomewa
 
Pongezi ziwaendee wote walioshiriki kupanga mkakati huu.

Mkatakati umezaa matunda.

Imewachanganya sana, hawajui anawaza nini, je anatoka au inakuwaje! Anarudi alikotokea miaka ile au inakuwaje!! Je anaacha siasa au ni vipi!!! Yote haya ni maswali wanajiuliza hawapati majibu.

Wengine wameenda mbali zaidi, eti kwa kuwa hawa wamesajiri Messi, basi wao wanataka wasajiri Ronaldo.
Yaani ni hatari upande ule.

Hawatumii akili tena, mwanzoni walidai ni yeye, Lissu na Mnyika. Akaanza Lissu, akaja, sasa Mnyika kaja. Hawajashituka tu kuwa huu ni mkakati wa kuwapoteza. Sasa kabaki huyu, wanajipa moyo tu, wanaendelea kusubiri tu, wanafuata nyuma ile ya Fisi kusubiri mkono udondoke, kumbe muda unaenda.

Walivyo wajinga wamemsahau MTU wao, sasa hata haijulikani yupo wapi na anafanya nini.
Media zote kwa sasa ni Mgeni na Katibu ndo habari ya mjini.

UKAWA/ CDM mnatisha aisee.

Wamepoteana.

Katibu ngoja ngoja siku zisogee kwanza, ukija kwa sasa itakuwa bado mapema mno.

Subiria wazidi kupoteana zaidi.

Big up mpango huu.
 
Subiri kampeni zianze. Bado la mgambo ahalijalia.
 
bila slaa ukawa itayumba ingawa bado tunatamani ccm iondoke. hivyo ile tu kubadili uongozi wa nchi, kwa wana mabadiriko ni jambo jema sana
 
Kama ulikuwa ni mkakati basi mlipaswa kuachia hizi taarifa zizagae toka awali...swali, kwanini marayakwanza mlikuwa mnasema yuko likizo, anaumwa, ana majukumu mengine?
Anyway..la kuvunda halina ubani mkuu..jipeni moyo
 
Back
Top Bottom