maulaga
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 472
- 120
Masabuli<br />
<br />
Hahahahaha hii kali yani mgombea wa Chadema hana hata pamba! Natoa wito kwa Wana Magwanda popote mlipo mchangieni mgombea wa Chadema Igunga hana Viatu,suruali wala mashati amechoka amepauka hana mvuto yani ni kituko! Chadema Makao makuu wamempa laki 5 tu kwa maandalizi ya Uchaguzi huku wakijua mgombea hana hata soksi za kubadilisha!