Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
ahahahaa..mkuu suala la vacation ni suala nyeti katika upangaji wake umakini na hasa lengo kuu la mapumziko inabidi lijulikane...say unataka mapumziko kwa minajili ya kupunguza stress za kazi...say unataka mapumziko ya kurekebisha mahusiano na familia/mpenzi wako?... au unataka mapumziko kwa ajili ya ku-jitafakari kwa ajili ya next move/steps in ur life..kama ulivyosema upo single...inawezekana ukataka mapumziko kwa ajili ya kufanya maamuzi kati ya madem wako wa-3 ulonao umuoe nani hiyo next year......zingatia haya
1- kupunguza stress za kazi-- nenda maeneo yenye shamrashamra za starehe..say arusha, morogoro, mwanza, haphapa dar pia panafaa.. na zenji ila wakati wa festival ya music and films i mean maeneo vibrant ni rahisi kukusahaulisha misukosuko ya kikazi
2- mapumziko ya kifamilia kurekebisha mahusiano- nenda moshi/ kilimanjaro..panda mlima , tembelea vivutio vidogo vya watalii kama waterfalls nenda bagamoyo na kwengineko ambako miji sio soo vibrant
3- maamuzi magumu kama ya ndoa na engagement, kuacha kazi, kujivua gamba, kuhama nchi, kukana uraia etc... haya nakushauri nenda maeneo tulivu kama visiwa vilivyo maeneo ya zenji na pemba kaa hotel nzuri na tulivu, nenda mbugani, etc
4- mapumziko kwa maana ya kujutia madhambi etc- nenda makha, israel etc sehemu za mahujaji unakoweza kujutia madhambi yako na mungu atakusamehe...ila kama fungu halitoshi jiwekee ratiba ya kutembelea watu wenye uhitaji na jitolee kwa kila hali na mali yako atleast mungu atakupunguzia mzigo wa dhambi na itakujenga ki-imani zaidi.
ni maoni tuuu
1- kupunguza stress za kazi-- nenda maeneo yenye shamrashamra za starehe..say arusha, morogoro, mwanza, haphapa dar pia panafaa.. na zenji ila wakati wa festival ya music and films i mean maeneo vibrant ni rahisi kukusahaulisha misukosuko ya kikazi
2- mapumziko ya kifamilia kurekebisha mahusiano- nenda moshi/ kilimanjaro..panda mlima , tembelea vivutio vidogo vya watalii kama waterfalls nenda bagamoyo na kwengineko ambako miji sio soo vibrant
3- maamuzi magumu kama ya ndoa na engagement, kuacha kazi, kujivua gamba, kuhama nchi, kukana uraia etc... haya nakushauri nenda maeneo tulivu kama visiwa vilivyo maeneo ya zenji na pemba kaa hotel nzuri na tulivu, nenda mbugani, etc
4- mapumziko kwa maana ya kujutia madhambi etc- nenda makha, israel etc sehemu za mahujaji unakoweza kujutia madhambi yako na mungu atakusamehe...ila kama fungu halitoshi jiwekee ratiba ya kutembelea watu wenye uhitaji na jitolee kwa kila hali na mali yako atleast mungu atakupunguzia mzigo wa dhambi na itakujenga ki-imani zaidi.
ni maoni tuuu