Mijengo ya Mbweni

Hujafika vingunguti wewe, kwa njenge zilizopo huku utazimia mzee.
 
Hayo madarasa yapo wapi, na mwalimu NI nani
 
Ila Mbweni kuna mijengo ya maana, hadi unaji uliza hawa wamiliki pesa ni hizi hizi TSH au?
Dooooh!!!
 
😂😂😂😂😂
 

Mkuu umewachamba kama Mzaramo wa Kisarawe
 
Mkuu umewachamba kama Mzaramo wa Kisarawe
hahaaaaaaa kawaambia ukweli kule kuna mitaa wamajimegea kutoka malindi na jkt wameikata vizuri kuna samia one hadi five na yote ina lami kimsingi kule ndio wanaishi binadamu hawawapiga debe wote wanakaa buza na viraka vyao matakoni hata ukiwasanua hawatakuelewa wanaimba mapambio tu , nilikuwa bongo mwezi wa tano niliishia kupata hasira bora niendelee kubeba boksi tu huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…