The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 4,780
- 8,155
Pesa zimejaa tele nchini ni wewe tu uwe na macho ya kuzichota tu fursa zipo tele sana nchi hii
Wanajichotea huko Serikalini ..Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania
Kama zipi zitaje hapaPesa zimejaa tele nchini ni wewe tu uwe na macho ya kuzichota tu fursa zipo tele sana nchi hii
Utajiri gani huo wa kipumbavu yaani usujudie majini wakupe utajiri wakati zipo njia kibao za utajiri uutakayo unakula na ndugu kwa amani na furahaKaribu huku Msumbiji nina kuku atakula mahindi yatayomwagwa chini, kila punje ya hindi huwakilisha mwaka mmoja utaokuwa na utajiri, akila mahindi 30 utakuwa umeupiga mwingi ila akila punje 1 ya mahindi tusilaumiane maana ni masharti ya utajiri.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Sio wote,pana wamewekeza ziwani, kwenye kilimo, madini, biashara za china nk.Wanajichotea huko Serikalini ..
Kwa sasaivi mzee mbweni ni full stop watu wengi wa masaki wana mijumba huko ni hatari mzee ni hatari sana, uliza mtu yeyote man....Kuna video moja niliwahi kuona ya dalali anaonyesha Maeneo ya Mbweni na nyumba zake, nikasema kweli Kuna sehemu Tanzania ina nyumba za kifahari kuzidi Mbweni?
Mbweni viwanja vilipimwa tofauti na kijichiShida ya ununio ipo kama kijichi.
Kuna mitaa ya kishua lakini Kuna mitaa ya kajamba nani. Hii ni tofauti na Mbweni ambako Kila mahali kumejengeka.
Alafu hii mitaa ya ununio uswahilini na kijichi uswahilini ni mitaa ya CCM na serikali za mitaa(kijichi CCM na ununuio mitaa ya ununio sirikali ya mtaa). Kuna namna hii nchi sisiem wanadumaza.
Duh! Mpaka mtu kua na michongo uweze kumiliki mjengo Mbweni SIO mchezoKwa sasaivi mzee mbweni ni full stop watu wengi wa masaki wana mijumba huko ni hatari mzee ni hatari sana, uliza mtu yeyote man....
Kilimo,uvuvi, madini,Kama zipi zitaje hapa
Tulipoenda kuomba kibali cha ujenzi, wanataka maghorofa. Ndiyo maana unaona Mbweni ina maghorofa mengi. Karibu Mbweni JKT nakwede97 🤗Watu wamejenga maghorofa tu yaan kama vile walikua kwenye mashindano nimemuuliza mwenyej wangu aliyenipeleka kwake vip wenzetu pesa mnazitoa wap😳 Hadith zikawa nyingi kuliko majibu
Anyway afya njema napumua bila shida tuseme Allhamdulilah🤗
Na kulala na chatu, hivyohivyo chukuchuku sidhaniKilimo,uvuvi, madini,
Mzee huu ujumbe mzito sana.. cha msingi ni kukomaa, michongo ya pesa ndefu inatatokea nikiwa road.. kuliko kushinda mtaanPambana, jiamini na chonga connections(networking) vilevile usikubali kukatishwa tamaa ya kwamba eti hauwezi kufikia ndoto zako bila kujali una ndoto kubwa kiasi gani, mabao mengine hutokea unexpectedly kikubwa uwe 'babarani' ukipambana.
Upumbavu huo kwa wasiojitambua ndo utumikishwa.Na kulala na chatu, hivyohivyo chukuchuku sidhani
Tupe code sasaUpumbavu huo kwa wasiojitambua ndo utumikishwa.
Utajiri wa halali upo tele tu ni wewe tu uzijue code
SIO watu maboss zako WA CCMWatu wana mbumba mazee
Njoo tushangae woteSasa wewe hata ubunifu tu wa ID yako umeshindwa kubuni na ukacopy yangu,utayaweza maisha kweli? Utaishia kushangaa mali za watu tu.
Ingia kwenye madarasa ya kiroho na utambuzi ujifunze siri za ulimwengu uwe huru ule kwa mrija.Tupe code sasa