Mijengo ya Mbweni

Mijengo ya Mbweni

Watu wamejenga maghorofa tu yaan kama vile walikua kwenye mashindano nimemuuliza mwenyej wangu aliyenipeleka kwake vip wenzetu pesa mnazitoa wap😳 Hadith zikawa nyingi kuliko majibu
Anyway afya njema napumua bila shida tuseme Allhamdulilah🤗
 
Aseee napita mitaa ya Mbweni ya huku ,

Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee.

Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania

Yani sielewei kabisa
Pambana na hali yako ujue wengine tumeibia watz,wengine escroo wengine tumeua Hadi mamazetu na kadhalika na wengine masharti yetu magumu kweli hatulali hata humo ndani


Amri ya ngapi ile inakataza usitamani mali za watu... Nyuma ya pazia ni majanga
 
Aseee napita mitaa ya Mbweni ya huku ,

Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee.

Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania

Yani sielewei kabisa
 
😂😂😂 Naskia Hadi mwenyekiti wao WA CHAMA ana hekalu pande hizo
Braza nasemaje hakuna ccm huko sijui bariadi sijui wapi CCM wale kweli kweli mzee wako sehemu hizo, kama huamini pita uone maajabu.. Mwanagu hawa jamaa wana mihela. Ndio mana kila mtu anataka kuwa mbunge ccm sababu ndio rahisi kuwa Tajiri na kupata ubunge na kuishi lavish life bila kubughudhiwa na mbwa yeyote....Mkuu pita simu moja update hasira ya kutafuta hela kiroho mbaya.....
 
Braza nasemaje hakuna ccm huko sijui bariadi sijui wapi CCM wale kweli kweli mzee wako sehemu hizo, kama huamini pita uone maajabu.. Mwanagu hawa jamaa wana mihela. Ndio mana kila mtu anataka kuwa mbunge ccm sababu ndio rahisi kuwa Tajiri na kupata ubunge na kuishi lavish life bila kubughudhiwa na mbwa yeyote....Mkuu pita simu moja update hasira ya kutafuta hela kiroho mbaya.....
Kuna video moja niliwahi kuona ya dalali anaonyesha Maeneo ya Mbweni na nyumba zake, nikasema kweli Kuna sehemu Tanzania ina nyumba za kifahari kuzidi Mbweni?
 
Back
Top Bottom