Mijengo ya Mbweni

Mijengo ya Mbweni

Hujafika vingunguti wewe, kwa njenge zilizopo huku utazimia mzee.
 
Ingia kwenye madarasa ya kiroho na utambuzi ujifunze siri za ulimwengu uwe huru ule kwa mrija.
Achana na mautajiri ya masharti ya kipumbavu, uliona wazungu au wachina wanalala na nyoka au kuku wa punje.
Utajiri na umasikini upo ndani mwako tumia sumaku iliyo ndani mwako uvute utajiri au umasikini, umeumbwa kwa mfano wa Mungu unakuaje masikini sasa.
Hayo madarasa yapo wapi, na mwalimu NI nani
 
Ila Mbweni kuna mijengo ya maana, hadi unaji uliza hawa wamiliki pesa ni hizi hizi TSH au?
Dooooh!!!
 
Watu wamejenga maghorofa tu yaan kama vile walikua kwenye mashindano nimemuuliza mwenyej wangu aliyenipeleka kwake vip wenzetu pesa mnazitoa wap😳 Hadith zikawa nyingi kuliko majibu
Anyway afya njema napumua bila shida tuseme Allhamdulilah🤗
😂😂😂😂😂
 
wakiwa mbwinde huko wanaipambania ccm tukiwaambia kwamba ccm wezi hawaamini sa kapita mbweni leo tu anashangaa hujaenda bahari beach, masaki, kunduchi, ununio , kule bunju moga road na vitu kama hivyo, atajua kwanini hawa jamaa wako tayari kutoa roho ZA watu wao waendelee kuishi hayo maisha....Lukasi Mwashambwa mwenyewe siku ya kukanyaga masaki akirudi uyole anaacha upumbavu wote...Anyways ngoja nkusaidie majibu, Mkuu mbweni ndio CCM wale Grade ya kwanza wanakaa wale wapumbavu wanakuaga huku jukwaani wanapiga kelele na kububujikwa na machozi wanakaa vingunguti spenko shrimp la mavi....

Mkuu umewachamba kama Mzaramo wa Kisarawe
 
Mkuu umewachamba kama Mzaramo wa Kisarawe
hahaaaaaaa kawaambia ukweli kule kuna mitaa wamajimegea kutoka malindi na jkt wameikata vizuri kuna samia one hadi five na yote ina lami kimsingi kule ndio wanaishi binadamu hawawapiga debe wote wanakaa buza na viraka vyao matakoni hata ukiwasanua hawatakuelewa wanaimba mapambio tu , nilikuwa bongo mwezi wa tano niliishia kupata hasira bora niendelee kubeba boksi tu huku.
 
Back
Top Bottom