The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 1,119
- 2,427
- Thread starter
- #21
Huku badoUnunio umewahi pita?
Huku badoUnunio umewahi pita?
Haha tulia wewe janjaaWewe kibwengo toka umuue baba yako umechangabyikiwa kabisa
Wengi ni wafanya biashara mkuu mie mwenyewe soon naamia hukoAseee napita mitaa ya Mbweni ya huku ,
Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee.
Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania
Yani sielewei kabisa
Tafuta pesa wewe kwa nguvuHaha tulia wewe janjaa
Umeuona mjengo wa Samia hukoo?Aseee napita mitaa ya Mbweni ya huku ,
Ni noma sana, kuna mijengo mikali sio mchezo wazee.
Hivi hawa wenye mijengo wanatoa wapi hizi pesa ? Au sio watanzania
Yani sielewei kabisa
Tafuta ramani for future mkuu siyo mbaya endelea kupita
Nyumba ya ulithi nipoDah....! Ndiyo umejenga huko au umepanga?
Samahani na-trespass lakini kuna 'picha naitafuta'.
Labda niseme hivi, si wote wenye mijengo ya thamani sehemu nzuri ni matajiri, kuna wanaopata a good catch na wakaiwekeza yote kwenye mjengo na wakaendelea na maisha yao ya kawaida. Hata wewe inaweza kukutokea kama uko focused, hakuna mtu 'fighter' ambaye hajakutana au hatakutana na mshiko so kama haijakufikia never give up.
Hizi misheni za uwinga.. tutajenga kweli kama haya mamijengoTafuta pesa wewe kwa nguvu
Kama mchongo tushituane kitaa pagunu sana
Huyo inabidi asile kama siku 2, ndio aje kula mahindiKaribu huku Msumbiji nina kuku atakula mahindi yatayomwagwa chini, kila punje ya hindi huwakilisha mwaka mmoja utaokuwa na utajiri, akila mahindi 30 utakuwa umeupiga mwingi ila akila punje 1 ya mahindi tusilaumiane maana ni masharti ya utajiri.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Upanga, mitaa inanuka chemba sana, wahindi mnakunya sana pande hizoSina mpango wa kuhama hapa Upanga mpaka nakufa,,,, cc Dr am 4 real PhD
Labda uwe tapeli ila kama ni uwinga na umachinga utasubili sana ndugu yanguHizi misheni za uwinga.. tutajenga kweli kama haya mamijengo
Mimi sio muhindii mkuuUpanga, mitaa inanuka chemba sana, wahindi mnakunya sana pande hizo
Acha propaganda, wanazipata kwa mishe ganiNchi ina GDP ya 78Billion $
Unajua ni sh ngap
78,000,000,000 x 2500 =1.95×10¹⁴
Ambayo ni. Trilion. Ngap? 195,000,000,000,000
Kama sijakosea n Trion 195 zinazunguka kila siku kwa mwaka mzima
afu unauliza watu wanatoa wap hela
Aisee mimi nimekulia Maeneo ya ununio hapoMzee tulia.. ngoja wajibu walio wahi kupita.. ila huku nyumba zote kali
Wala si kuku huyo ktk ulimwengu wa rohoni bali ni zimwi/jini lenyewe litalokuwa linakuletea ukwasi hata kama hufanyi kazi.Huyo inabidi asile kama siku 2, ndio aje kula mahindi
Kuna muda natamani niibebe kuileta Huku dar es salaam Tanzania NYUMBA yangu ya mkoaniiiSina mpango wa kuhama hapa Upanga mpaka nakufa,,,, cc Dr am 4 real PhD
Wahuni wamejenga kule mazee hatari pana mzala mmoja niliacha Raptor yeye yupo USA kaacha maagizo kwa walinzi tu yule mzala toka katuma hela mpaka naicha gari daslm hakuwahi kupiga simu aisee..Mbweni shikamoo..