mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
Hawa wote Wana asili ya uzungu uzungu, Kila mmoja alitengeneza hits nyingi, Ila pfunk alikuwa akisaidiwa na bizman kwa Sana , Sasa he Nani Alikuwa Mkali zaidi, nimesahau track nyingine lakini hizi ni baadhi
Miika Mwamba
1.Mabinti wa Kitanga - misosi
2.Twenzetu - chegge
3.Wanok nok - mandojo
4. Fagio la chuma
5. Elimu mitaani D knob
6. Wange
7. Kikongwe.
8. Pia sebene kibao
Majani
1. Nikusaidieje
2. Zali la Mentali
3. Namba 8 Daz baba
4. Pamba nyepesi inspector
5.nitoke vipi misosi
6. Chagua moja
7. Kibanda Cha simu
8. Wife
9. Mikasi
Embu tajeni ngoma zao nyingine, Ila naona Kama majani anashindwa, Ila Mika Mwamba alikuwa hatari
Miika Mwamba
1.Mabinti wa Kitanga - misosi
2.Twenzetu - chegge
3.Wanok nok - mandojo
4. Fagio la chuma
5. Elimu mitaani D knob
6. Wange
7. Kikongwe.
8. Pia sebene kibao
Majani
1. Nikusaidieje
2. Zali la Mentali
3. Namba 8 Daz baba
4. Pamba nyepesi inspector
5.nitoke vipi misosi
6. Chagua moja
7. Kibanda Cha simu
8. Wife
9. Mikasi
Embu tajeni ngoma zao nyingine, Ila naona Kama majani anashindwa, Ila Mika Mwamba alikuwa hatari