J Jibaba Bonge JF-Expert Member May 6, 2008 1,246 401 Jul 31, 2012 #22 Kanyapini said: kama bia ziko hivyo sinyi tena. Click to expand... Na ndiyo utakuwa mwisho wa uhai wako,kwanza huwezi kuthubutu maana hiyo ni call of nature. Labda kama umekosea hilo neno!
Kanyapini said: kama bia ziko hivyo sinyi tena. Click to expand... Na ndiyo utakuwa mwisho wa uhai wako,kwanza huwezi kuthubutu maana hiyo ni call of nature. Labda kama umekosea hilo neno!
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Sep 3, 2010 7,635 4,519 Jul 31, 2012 #23 Sokwe Mjanja said: Mguu wa bia ni huu bana Click to expand... Akikukanyaga huyu ni afadhali kuangukuwa na kontena......
Sokwe Mjanja said: Mguu wa bia ni huu bana Click to expand... Akikukanyaga huyu ni afadhali kuangukuwa na kontena......
Mkirua JF-Expert Member Sep 9, 2010 5,647 2,498 Jul 31, 2012 #24 Mbuzi Mzee said: Click to expand... Ha! uyu wa mwisho mbona kama anachungulia ya mwenziwe?
Sikonge JF-Expert Member Jan 19, 2008 11,550 6,062 Jul 31, 2012 #26 Mguu wa Rihanna bana.... Umejaa hadi chini. Ndiyo maana anauficha sana kwa kuvaa viatu virefu kwa juu. Hapo kwenye Kikamba cha kiatu, ni panene sana. Kuna watu wanahusudu si kawaida. Ila mara nyingi inaenda pamoja na Wowowo la nguvu, hihihiiiii.......
Mguu wa Rihanna bana.... Umejaa hadi chini. Ndiyo maana anauficha sana kwa kuvaa viatu virefu kwa juu. Hapo kwenye Kikamba cha kiatu, ni panene sana. Kuna watu wanahusudu si kawaida. Ila mara nyingi inaenda pamoja na Wowowo la nguvu, hihihiiiii.......
M Mr Rocky JF-Expert Member Oct 10, 2007 15,178 14,349 Jul 31, 2012 #27 Mbuzi Mzee said: Click to expand... Mbona kama midume Miguu imekomaa kama nini bana