Migratin vipi?

Tafuta cha kufanya tu,pale kama huna refa imekula kwako!
 
Endelea kusubiri na jipe moyo ndugu yangu sababu yupo MUNGU na ni yeye tu ndio wakumtegemea na sio mtu.
 
Tafuta cha kufanya tu,pale kama huna refa imekula kwako!

Hakuna ukweli wa hiyo statement yako. kama una sifa na vigezo atapata. Serikalini kila jambo lina taratibu zake.Vuta subra wenye sifa wataitwa na kwenda mafunzoni then ajira.Wengi wameajiriwa bila kuwa na magodfather.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom