Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,270
WanaJF, sijui mnazichukuliaje hizi habari za mwanafunzi kujinyonga? Hisia zangu kwa kweli baada ya kusoma tu hii habari zilikuwa za masikitiko, na ni maombi yangu Mwenyezi Mungu Amlaze Pahala Pema Peponi. Lakini pia hisia nyingine zilizo nijia moja kwa moja ni zile za viongozi wabadhirifu na mafisadi na uwajibikaji wao.
Naomba usome kwanza hii habari hapa chini:
Sasa ndugu zangu lile ambalo ningependa kuuliza ni kuwa;
--Je, huyu kijana amekufa kishujaa au kinyonge?!
--Je, kujinyonga baada ya kughafirika ki aibu ni kitu cha kutetea?!
--Je, kijana huyu alivyofanya ni sawa na kujitoa mhanga?!
Pia kuna habari kama ifuatayo:
Pamoja na kuwa hata huko kwenye nchi zenye corporate responsibility ya hali ya juu kabisa matukio haya kuwa nadra, siishi kujiuliza: Is there a way out?!
I don't understand how commiting suicide can rectify a situation, but again, you cannot really fit yourself in the shoes of a desperate and guilty person. Anyhow, to me, commiting suicide may seem to be the honourable way out by many, but it does not fix the situation that is left behind.
Kwa sisi walalahoi, is this a means of escaping one's individual misery and wretched life or a way of rejecting completely the miserable and wretched social conditions and society one lives in?!
Lakini kuna lile la kujitoa mhanga kama linavyotokea Mashariki ya Kati kila mara; is suicide a way of saving face, gaining honour and redemption for oneself and one's family and associates?!
But even troubling, je baadhi ya wanasiasa wetu wengi wanaotajwa na wengi wanaojijua kuwa wameshiriki katika matendo ya kiuhujumu uchumi wafuate mfano wa huyo kijana huko Msoma kwa aibu wanazo zipatia familia zao na jamii zao kiujumla?!
SteveD.
Naomba usome kwanza hii habari hapa chini:
Source: HabariLEO.Mwanafunzi ajinyonga kwa udanganyifu katika mitihani
Makubo Haruni, Musoma
HabariLeo; Friday,October 12, 2007 @00:02
MWANAFUNZI wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari ya Magoto iliyopo wilayani Tarime Mkoa wa Mara, Joseph James (21) amejinyonga baada ya kukutwa na majibu ya mtihani wa kumaliza kidato cha nne.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, David Saibullu alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa tisa mchana ndani ya chumba alichokuwa amepanga mwanafunzi huyo. Alisema mwanafunzi huyo alijinyonga kwa tai yake baada ya kutolewa nje ya chumba cha mtihani na msimamizi, Joseph Menyei baada ya kukutwa na majibu ya mtihani.
Kamanda Saibullu alieleza kuwa mwanafunzi huyo alijiua baada ya kukamatwa na majibu ya somo la Baolojia na kutolewa ndani ya chumba cha mtihani, kitendo ambacho kilionekana kumkera na kuamua kwenda nyumbani alikokuwa amepanga katika Kijiji cha Magoto. Alisema James ambaye nyumbani kwao ni katika Kijiji cha Nyamwaga, kabla ya kujiua, aliacha ujumbe kuwa amefanya uamuzi huo kuondoa aibu katika jamii sambamba na kujivunjia heshima kwa kukamatwa na majibu hayo ya mtihani.
Wiki iliyopita, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Margaret Sitta aliwaonya wanafunzi wa kidato cha nne walioanza kufanya mtihani Oktoba 8 mwaka huu, kuacha udanganyifu na kuwa waaminifu wakati wakifanya mtihani.
Pia aliwaonya wasimamizi kuacha udanganyifu kwa kujiepusha na vitendo vya rushwa na kwamba atakayekiuka atachukuliwa hatua za kinidhamu na kisheria. Kwa mujibu wa Waziri Sitta, watahiniwa wanaoendelea kufanya mitihani yao nchi nzima ni 127,988 na kati ya hao, wavulana ni 71,012 na wasichana ni 56,979, miongoni mwa wanafunzi 199,274 waliosajiliwa kidato cha kwanza miaka minne iliyopita.
Sasa ndugu zangu lile ambalo ningependa kuuliza ni kuwa;
--Je, huyu kijana amekufa kishujaa au kinyonge?!
--Je, kujinyonga baada ya kughafirika ki aibu ni kitu cha kutetea?!
--Je, kijana huyu alivyofanya ni sawa na kujitoa mhanga?!
Pia kuna habari kama ifuatayo:
Pia kuna hii ya CEO Uchina:Japanese minister kills himself Japan's Agriculture
Minister Toshikatsu Matsuoka has died in hospital after apparently committing suicide.
The 62-year-old was found hanged in his Tokyo apartment hours before he was to face questions in parliament over his links to a political funding scandal. Opposition MPs had been calling for his resignation over unexplained expenses.
PM Shinzo Abe expressed regret over the news saying he was conscious of his "responsibility as prime minister, and as the one who appointed him".
"The effects on the cabinet will be great," Mr Abe added as he went to attend a wake for the deceased minister late on Monday.
Mr Matsuoka was found unconscious in his flat around lunchtime on Monday. Efforts to resuscitate him at hospital failed.
Police said he had hanged himself, but refused to comment on reports in the Japanese press that he had left a number of suicide notes in his apartment.
It is the first time a Japanese cabinet minister has killed himself since World War II, when the army minister committed suicide on news of Japan's surrender.
Habari zaidi HAPA, BBC.
Chinese toy boss 'kills himself'
The boss of a Chinese toy firm involved in a huge safety recall has committed suicide, Chinese media has said. Zhang Shuhong, who co-owned the Lee Der Toy Company, was reportedly found dead at his factory in southern China.
About 1.5 million toys made for Fisher Price, a subsidiary of US giant Mattel, were withdrawn from sale earlier this month. Many were made by Lee Der. The recalled toys include characters from Sesame Street's Big Bird and Elmo, and Nickelodeon's Dora the Explorer.
Zhang killed himself on Saturday, according to the Southern Metropolitan Daily and other news sources. He reportedly hanged himself in his factory. "When I rushed there around 5pm, police had already sealed off the area," the newspaper quoted a manager at the firm as saying. "I saw that our boss had two deep marks in his neck."
The news report did not give a reason for Zhang's apparent suicide, but Lee Der was known to be under pressure after the huge product recall. Fisher Price announced on 2 August that it was recalling some of Lee Der's Chinese-made toys, in a move affecting 83 product-types sold around the world, including the US and the UK.
An internal investigation found the toys had been made using a non-approved paint pigment which contained excessive amounts of lead, violating safety standards. A manager at Lee Der blamed its paint supplier for the incident, according to the Southern Metropolitan Daily.
Chinese-made products have come under increasing international scrutiny in recent months, after a series of safety scandals.
A substance found in pet food made in China caused the death of a number of animals in the United States, and toxic ingredients were also found in Chinese-made toothpaste.
Source: BBC.
Pamoja na kuwa hata huko kwenye nchi zenye corporate responsibility ya hali ya juu kabisa matukio haya kuwa nadra, siishi kujiuliza: Is there a way out?!
I don't understand how commiting suicide can rectify a situation, but again, you cannot really fit yourself in the shoes of a desperate and guilty person. Anyhow, to me, commiting suicide may seem to be the honourable way out by many, but it does not fix the situation that is left behind.
Kwa sisi walalahoi, is this a means of escaping one's individual misery and wretched life or a way of rejecting completely the miserable and wretched social conditions and society one lives in?!
Lakini kuna lile la kujitoa mhanga kama linavyotokea Mashariki ya Kati kila mara; is suicide a way of saving face, gaining honour and redemption for oneself and one's family and associates?!
But even troubling, je baadhi ya wanasiasa wetu wengi wanaotajwa na wengi wanaojijua kuwa wameshiriki katika matendo ya kiuhujumu uchumi wafuate mfano wa huyo kijana huko Msoma kwa aibu wanazo zipatia familia zao na jamii zao kiujumla?!
SteveD.