Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

ASHA ROSE FOR 2015 PRESIDENCY?! Nafikiri hapa CCM watakuwa wanajipotezea muda mno. Tumekwisha ona jinsi wanawake wanavyo prove failure kwenye political posts. S. Simba, A. Makinda just to mention the few of them..

Mkuu Wambangwa, hapo juu kwenye red ni prejudice at its best. Wanawake hao unaowataja wame-prove failure kwasababu wamebebwa kwenye nafasi hizo. Wapo wanawake wanaoweza political posts lakini their overlooked kwasababu mbalimbali including: kukosa watu waku-wakingia kifua, kutokuwa popular, kukataa kuwa property ya watu kwenye system etc. Kuna wanawake tumewaona kwenye political post wamefanya vizuri including marehemu Regia Mtema (alikuwa na nia, ari, na convictions pia). Kuna wanaume wengi tu kwenye political post wame-prove failure; nikianza kutaja labda nitajaza hapa. That being said, sidhani kama tunatenda haki pale tunapoanza ku-generalize jinsia fulani hawawezi kuperform. Poor performance imechangiwa sana na jinsi hao viongozi wanavyopatikana na sio jinsia zao. Kwa Tanzania both sides (wanawake na wanaume) wame-prove failure ndio maana tupo hapa tulipo.
 
She has done on her part!Ni busara tukampongeza na si kumkejeri kwani nafasi aliyokuwa nayo si lelemama. Siamini kwamba kashindwa kuperform kwani ingekuwa hivyo
Ban ki Moon asingepitishwa kwa kishindo kwa term ya pili.Mind u she was second from top and interchangeable duties with her boss.

Tutambue kuwa nafasi yake na ya Ban katika UN upatikana kwa njia ya lobbying na kwa sehemu kubwa maamuzi ya wakubwa kwa maana ya Security Council Members pamoja na some members in General Assemby ni muhimu kuzingatiwa (ndio wenye kura). Haikuwa rahisi kumreplace Ban lakini kupita kwake kwa kishindo lazima atakuwa na back up ya kutoa fadhira kwa Nchi fulani fulani hasa za Amerika ya Kusini ili ku build universal combination baada ya Africa.

Haizuii kuwa na mawazo tofauti hapa kwani kila mmoja ata perceive tofauti. Kwa kuwa wengi tumetawaliwa na siasa za Urais, lazima maoni mengi yataangukia huko. Asha amekuwa akitajwa sana kwenye mambo ya Urais, sasa tuliwezaje kumtaja huku tukijua she will be out from UN after election?.

Watanzania tuwe na Uzalendo na tuache kubezana hata kwa yale yaliyo wazi. Ni dhahiri katika kipindi chake Nchi yetu imesikika saana na nafasi nyingi za uongozi wa kitaifa tumepata (wenyeviti wa commission mbali mbali duniani).
God Job Asha welcome home as a HERO.

This is the kind of thinking prevalent amongst those I label typical Tanzanians! With this kind of mentality it came as no surprise Kikwete got a second term in 2010. Kwenye nafasi kama hizi, the incumbent has a big advantage over all other candidates and it is only one's performance that determines whether he/she stays or is shown the door. Asha-Rose Migiro, whether we like it or not, heroine or not, has unfortunately not met that criteria and has to step aside and let Ban Kimoon pick a replacement. As expected in Tanzania, failure is more than often rewarded and it's no small wonder we are where we are!
 
Welcome home Mama Migiro, you did excelent and commendable job.
 
"The first of the controversies was the appointment of Asha Rose Migiro of Tanzania as Deputy Secretary-General. She was hired without any kind of selection process, not even a formal interview. When asked about that Ban told journalists that he had talked to her; then it came out that he had done so a year earlier, when they happened to sit next to each other on a flight into Addis Ababa. Ban's assertions that Migiro was the best person for the job were hard to swallow, for she had no visible qualifications for the post, having been Tanzania's Minister for Community Development, Gender and Children for five of the previous six years. The unkind construction put on this by UN insiders was that Tanzania, a member of the Security Council when it picked Ban to be Secretary-General in 2006, was being repaid for helping his candidacy."

Source: undiplomatictimes.com


"In early January, Ban appointed the key members of his cabinet. As his Deputy Secretary-General, he selected Tanzanian foreign minister and professor Asha-Rose Migiro – a move that pleased African diplomats who had concerns of losing power without Annan in office."

Source: Julia Preston (2007-01-06). "Tanzanian Woman Is Chosen for U.N.'s 2nd Highest Post. The New York Times.
 
akikubali kuwa waziri mkuu wa Lowassa itawezekana, huyu mama ni mwanamtandao jamani
 
2acheni ushabiki wa Simba na Yanga, ambapo mashabiki wa simba/Yanga hufurahia timu ya nje ishinde!

Bila shaka huyu mama kauza sana na kuitingaza nchi yetu. Madhaifu kama yapo ni ya kibinadamu. Kwa hili anastahili pongezi
 
Akifanikiwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 atakuwa ameweka histotia si tu hapa bongo kuwa mwanamke wa kwanza bali hata huko Umoja wa Mataifa; kwani viongozi wengi waliotoka huko na kujaribu kuwa viomgozi wa nchi zao walishindwa akiwamo katibu mkuu wa wa umoja wa Mataifa Pieres de Cuelle kutoka Peru aliyeshindwa kuwa rais baada ya kumaliza muda wake kule U.N.!!

How long shall they rule this country while we stand aside and look??? It was JKM, then Alhaj AHM,then BWM, then Alhaj JMK next will not be another Alhaj. That trend will not stop
 
Welcome home Mama Migiro, you did excelent and commendable job.

How? kama ingelikuwa hivyo she would have kept her post just as her boss.
Kashindwa kazi boss kampiga chini imetoka hiyo.
Hata hivyo kwani kuwepo kwake kule kumetusaidia nini??? umaskini umeongezeka na maisha kuwa magumu. Isitoshe madeni yetu nje yameongezeka sana na misaada imepungua. Hakuwa na maana yoyote kwetu kuwepo kwake kule labda kwa familia yake ambao wamepata vishule kule.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Dr Migiro karibu tena nyumbni uje ulitumikie Taifa umefanya kazi kwa mafanikio makubwa sana ndani ya UN:
 
Kitu kimoja tu najiuliza hivi hii nafasi yake imeisaida vipi Tanzania kama nchi na yeye kama advocate wetu huko UN? Kama haikuleta impact yeyote ile significant basi ujue mtu kama huyo hata ukimpa u-head wa department pale chuoni bado ataendeleza statusquo bila kuleta mabadiliko yeyote. Pamoja na hayo;

Nitashangaa sana kama itatokea mtu kama yeye ambaye ame hold nafasi ya kidunia ataenda kugombea eti nafasi ya ubunge tena...Kuna levels mtu akifika lazima ajue nafasi yake ni ipi unless kama alifika hiyo level bila mategemeo ambapo unajikuta under surprises na kuishia kutoamini kama mtu anayepata pesa nyingi kwa bahati nasibu na mwishowe kuishia kufilisika kwakua tu hakujua afanyeje hizo pesa hata zimsaidie yeye na jamii for centuries...
 
How? kama ingelikuwa hivyo she would have kept her post just as her boss.
Kashindwa kazi boss kampiga chini imetoka hiyo.
Hata hivyo kwani kuwepo kwake kule kumetusaidia nini??? umaskini umeongezeka na maisha kuwa magumu. Isitoshe madeni yetu nje yameongezeka sana na misaada imepungua. Hakuwa na maana yoyote kwetu kuwepo kwake kule labda kwa familia yake ambao wamepata vishule kule.

Wachache sana watakubali ukweli huu mchungu..watanzania wengi wanashindwa kuwa objective I really dont know why nadhani culture yetu inatufunza kutokuwa honest...Kofi Annan anajulikana alifanya nini kwa Ghana alivyokuwa UN; Festus Moghae(Sp?) wa Botswana anajulikana ameifikisha wapi Botswana kwa vile tu alikuwa World Bank if am right lakini one of the finance department za UN sasa sisi Tanzania tutasema hii nafasi imetusaidia nini wakati inflation ndiyo hiyo hapo; urban poverty iko kwenye increase; watu wamekufa mabondeni issue ikiwa poor planning na poverty etc lakini utasikia watu wakisema amefanya kazi kubwa sana; well Mungu utusaidie tuwe objective kwakweli na tuache kusema tusiyoyaamini wala kuyajua atleast uthibitisho wa kuwa vimefanyika badala ya hadithi za subjectivity!
 
Sheikh vitu vingine tuongee kwa takwimu. Nenda website ya UN, kwa nafasi yake Mama Migiro alikuwa ni msaidizi wa Katibu Mkuu so alikuwa anatumwa na ziara zake zinaratibiwa na UN office. Hata ukimuona nyumbani ilikuwa inaratibiwa na UN ofisi so si kosa kurudi nyumbani. Tutafute lingine la kumkosoa.

Kwa nini tuandikie mate hali wino upo? Kama angefanya vizuri ni dhahiri angepewa nafasi ya kumalizia ingwe ya mwisho ya miaka mitano ijayo. Sasa pamoja na kuomba extension ya mkataba ametemwa, sasa unatetea nini?
 
Ni kweli ni mwanamke mwenzio ila afike Ikulu kwa nguvu na uwezo wake sio kwa kubebwa. Wanawake wanaopata vyeo kwa kubebwa hawasaidii mapinduzi ya wanawake bali wanawadhalilisha...

Mh umenikumbusha sakata linaloendelea la ma dokta pale MNH. Kuna wakina mama wawili Nyoni na Njelekela. He nimemsahau Dr. Lucy Nkya. Aisee wakiwezeshwa wanaweza. Vilaza watupu.
 
Icon zetu nje zinarudi kwa kasi......................Majuzi tu karudi AmbassadorMulamula wa Great Lakes Region, si haba ngoja mrudishe ujuzi na maarifa mliyopata ughaibuni lakini muwasiliane na Tibaijuka jinsi anavyoshindwa ku-cop na system ya Kibongobongo


Wakirudi watakuwa wajinga, kwa sababu hapa Tanzania kilichopo ni Tido effect. Unafanya kazi kwa moyo wote lakini matokeo yake mbumbumbu anakuja kukufukuza na kukuharibia kazi.

Tido Mhando ni mfano mzuri sana kwa sisi watanzania,
 
Kwa wale wapenda ukabila huyu mama sio wa kaskazini? Au akiwa CCM sio dhambi Bali CDM wakiwa wa kaskazini inakuwa nongwa. Hata Balozi Sefue Si wa huko huko?
Wale wanazi wa CCM mpo?
 
Kwa nini tuandikie mate hali wino upo? Kama angefanya vizuri ni dhahiri angepewa nafasi ya kumalizia ingwe ya mwisho ya miaka mitano ijayo. Sasa pamoja na kuomba extension ya mkataba ametemwa, sasa unatetea nini?

Hiyo ndiyo mbaya zaidi kwani alishindwa hata kusoma mazingira yaliyokuwa yanamzunguka kama alikuwa redandunt ama ana potentials za kuomba extensions maana kuomba na kukosa kwa mtu ambaye umefanya naye kazi for 5 years kuna implication ya kuwa huku m-impress ama hukufikia expectations zake. Kwakua tumekulia kwenye culture ya patronage na siyo out put oriented mara nyingi tunashindwa hata kuji-evaluate na kujua nafasi zetu stahili.
 
This is the kind of thinking prevalent amongst those I label typical Tanzanians! With this kind of mentality it came as no surprise Kikwete got a second term in 2010. Kwenye nafasi kama hizi, the incumbent has a big advantage over all other candidates and it is only one's performance that determines whether he/she stays or is shown the door. Asha-Rose Migiro, whether we like it or not, heroine or not, has unfortunately not met that criteria and has to step aside and let Ban Kimoon pick a replacement. As expected in Tanzania, failure is more than often rewarded and it's no small wonder we are where we are!

kwenye nafasi za juu huko un hilo suala la "performance" sio kigezo kikubwa.
huko ni siasa na "mzunguko wa kikanda".
 
tatizo kubwa linalo wa kumba wa tz ni lack of self confidence, na mojawapo wa matendo yanayo onyesha mambo hayo ni ziara zake bongo na kuanza kutembelea viongozi ofisini, yote ya nini? mara zanzibar, kwa shein, mara bungeni, mara ikulu. mtu umekuja likizo ka zako nyumbani mkitembeleana ufanye ni ziara yako binafsi.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom