Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

..Labda ndio anayaanza rasmi maandalizi ya kuelekea 2015 au kuna mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri yanakuja labda atapewa moja ya Wizara nyeti.
 
It is good that shes coming back lakini. Ni dhahiri kwamba katupatia heshima kubwa sana, lakini jamani, lets not hype up this thing, huyu mama ni mwanasiasa mchanga sana, but ofcourse she is very articulate, lakini hana cha ajabu kutuletea. Kuna watu aidha sawa na yeey na wengine wengi zaidi bora kuliko yeye. Kwa mfano, Migiro hawezi kusimama na Prof Tibaijuka pamoja na kumpiga sana majungu alipokuwa huko UN, na analijua hilo wazi. Lakini muhimu hapa ni kwamba tuna hazina nzuri ya kina mama kuliko huko nyuma, migiro, tibaijuka, ni wawili tu in the recent past, wengine ni siasa za kulala na wakubwa tu;

Nafasi za naibu katibu mkuu UN huwa ni ya miaka mitano tu, kwahiyo hakuwa na jinsi; na alikubali nafasi hiyo akijua hilo - yani kwamba atarudi nyumbani kabla ya 2015; kuna nafasi wazi pale New York ubalozi, inawezekana kabisa mabadiliko ya mawaziri yakatokea to accomodate her esp kwasababu ni mwanamke, na waziri mmoja akatupwa huko NY ubalozi, ili kumpisha mama migiro uwaziri, au hata pengine tunaweza shangaa anapewa nafasi kubwa ya chama. Nje ya hapo, migiro ni kiongozi wa kawaida tu, hana cha ziada zaidi ya kuwa mmoja ya kina mama wachache wenye nyota katika siasa.
 
Asha Rose anarejea nyumbani Juni mwaka huu. Mkataba wake wa kazi ulimalizika Desemba 2011 akaomba aongezewe muda hadi Juni ili mwanae amalize masomo. Muhula wa masomo hapa USA humalizika mwezi Mei/Juni. Nasikia anayekuja kujaza nafasi ya Sefue ni Radhia (coincidence) ambaye atabaki na mtoto wa Asha Rose.
 
Asha Rose anarejea nyumbani Juni mwaka huu. Mkataba wake wa kazi ulimalizika Desemba 2011 akaomba aongezewe muda hadi Juni ili mwanae amalize masomo. Muhula wa masomo hapa USA humalizika mwezi Mei/Juni. Nasikia anayekuja kujaza nafasi ya Sefue ni Radhia (coincidence) ambaye atabaki na mtoto wa Asha Rose.

radhia ni mdogo mtu aliyepo South Africa; siasa za kujuana hizi.......
 
Duh, kwa hiyo limebaki jina tu! Kama ni kweli basi ni jambo la huzuni na kwa umri wao; suala la kuachana lina tafsiri nyingi.

rejea kwenye point yako ya koment ya hapo juu,inawezekana tatizo ni huohuo USOMI WAO
 
Na arudi tunamkaribisha. Atakapofika ajitulize na afanye mikakati ya kutumia alichojifunza kuiendeleza TZ kwa moyo wote. Alikuwa kwenye nafasi ngumu ya kupokea malawama lakini pia anafahamu siri nyingi za majuu katika mikakati waliyoiweka kuhusu TZ. Msimcrowd kwa sasa. Give her some room to know her bearings.
 
Headline sahihi kwa hiyo text ya Citizen Reporter ni `Migiro lfired from UN post`
 
jamani kila kitu ni urais,haifai hivyo hebu zipeni muda akili zenu zifikirie pia mambo mengine ya msingi badala ya kila kitu ku-relate na urais ubongo wenu utadumaa mpaka 2015, be careful
 
so what this mean? does this mean Migiro has failed? if ki moom is looking to establish what is called working team with a single vision!,that meas with Migiro no single team nor synergy?? duh total failure!
 
Ni wakati sasa wa kutulia nyumbani na kutunza familia yake mmewe na wanafamilia wake walikuwa wanakaa naye kwa ratiba kama c mwenzao!najua tuu chama chetu ikifika 2015 itatokea msemo maarufu kuwa sasa ni zamu ya wanawake tz iwe ya pili afrika kutoa mwanamama president!!!
 
Kqshindwa kucope na speed ya BabKi moon; mkorea yule balaa mama alifanya business as usual ndio maana kaomba na kakosa tena; mama you have proved a failure maana angekuwa performer angeendela nae; lakini kaonekana mzigo maan muda mwingi yuko huku kuja kutuonyesha yuko UN. Anyway karibu but binafsi sijapenda ulivyo tuprove we cannot perform

Hopefully she will come back and list all that she has accomplished as Deputy secretary General of the United Nations before she ventures into seeking the top post!! Specifically what has she done to Tanzania during her tenure apart from securing a job for her sister in Somalia!!!
 
Kama kazi imemshinda asingemaliza miaka 5, amefanya kazi vizuri mpaka amemaliza kipindi chake salama, suala la kipindi kingine linategemea na Katibu Mkuu mwenyewe na mikakati yake, pengine anataka atoe fursa pana zaidi kwa kushirikisha na wengine pia wachangie kabla na yeye hajaondoka. Big up Dada Rose Migiro, karibu nyumbani, umeweka Historia na kulinda ya heshma ya Taifa letu!
 
Naye alikuwa na bado ana ka mrija kake pale Darfur labda walisha jua leo wana mnyima mkataba maana UN si bongo ati .
 
Moon anataka UN ifanyiwe mabadiliko makubwa ya uongozi, na mtu aliyekuwa anasimamia hy sera ni Dr Asha, kwa madai yk akaoana si vibaya na yeye akahusika kwenye hy mabadiliko.

na mimi niliiona hii TBC nikajua ni mwendelezo uleule wa kupoliticise kila kitu
 
UN kama chombo kinachotumiwa na US kwa sasa kinaondoa vikwazo ktk safu yake ya uongozi ambapo kinalazimishwa kupitisha VITA kubwa nyingine ambayo US inataka ipitishwe na UN....by the way Ban kimoon himselfn he has proved failure kwa kulazimishwa kuunga mkono vita ya LIBYA so yeye km kiongozi mkuu wa UN kawafanyia nini wa Africa zaidi ya kutuongezea machungu na pia kuzidi kutugawa wa wa Africa mf SUDAN imemegeka through UN...

Ulikuwa unafurahia ukoloni wa Sudan ya Waarabu dhidi ya Wasudani ya Kusini weusi?
 
ASHA ROSE FOR 2015 PRESIDENCY?! Nafikiri hapa CCM watakuwa wanajipotezea muda mno. Tumekwisha ona jinsi wanawake wanavyo prove failure kwenye political posts. S. Simba, A. Makinda just to mention the few of them.

Tuna mchakato wa kuandika katiba mpya sasa; tunatoa mchango wa mawazo gani kuhusu kumpata rais ambaye ni chaguo la wananchi na si la chama kama sasa? Tume ya uchaguzi ya sasa inamilikiwa na CCM, je hii tunaruhusu iendelee?

Waangalie viongozi wote wa CCM, ni tofauti kwa mbali na viongozi wa vyama vingine. Wao wanajiona exclusive (kule India kuna 'caste' katika jamii. Kuna 'untouchables' kule. Viongozi wa CCm kwa sababu huwa wanawagawia ubwabwa, khanga, leso, kapelo na opener hawa wanachama wao ambao hawana nyazifa na kuwahadaa kwamba wameweza alimradi waabudiwe. Angalia hata wabunge wao jinsi wanavyosupport kishabiki maswala ambayo ni mstakabali wa taifa.

Tukifikiri kuwa a failed deputy UN Secretary Gen anaweza kuwa na uwezo wa kukabiliana na hili janga la mafisadi tunajidanganya, kwanza na hili tuliweke kwenye maoni ya mchakato wa kuandika katiba mpya - MTU AMBAYE AMEWAHI KUFANYA KAZI KWENYE NGAZI YA JUU UMOJA WA MATAIFA ASIRUHUSIWE KUGOMBEA URAIS, tu limit kwa mabalozi tu.
 
Nadhani sasa ni Zamu ya mwanamke kusimamishwa kugombea uraisi kupitia CCM
 
Back
Top Bottom