Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

Mtembezi hula miguu yake so keshapata .Alijifanya ni JK siyo ?
 
km kipimo ni hawa wanaume wanaoendeshwa kwa remot basi bi mkubwa karibu nyumbani...najua watakuweka kwa kuamini kua watakutumia lakini ni imani yangu kua utatumia akili yako pia! Hukukimbia umande....
 
Wakati tupo masomoni pale juu akitufundisha, alikuwa ana metembezi na profesa mmoja ambae ilikuwa inajulikana wazi yupo safarini, na haikuchukua muda, pro huyu akasafiri. Baada ya yule prof kusafiri, mama akapotea ghafla,na baadae tukaja sikia kaingia kwenye siasa. Huu sio uzushi, ni taarifa zilizokuwa zinasambaa tukiwa pale juu, kwa mufa mrefu mpaka yule prof aliposafiri, huku mama nae kupotea. Wanafunzi wake wengi wanalijua hilo, hasa wale wa miaka yake 2-3 ya mwisho mwisho.
 
Why there is no post for her?

A potential threat kwa wale mafisadi wanaotafuta high post?

Who knows, Tanzania could be among the second country in Africe to have a female president!

karibu gizani mama!:A S embarassed::shock:

What have she done so far to qualify to be our president. CHICHIEM Is a failled system na hakuna kiongozi toka kule atatusaidia hata kama angekuwa malaika kwa kuwa hataweza fanya maamuzi against system aliyomo.
 
What have she done so far to qualify to be our president. CHICHIEM Is a failled system na hakuna kiongozi toka kule atatusaidia hata kama angekuwa malaika kwa kuwa hataweza fanya maamuzi against system aliyomo.

Asije kugeuza ikulu kuwa ukumbi wa kufanyia kitchen party.
 
un kama chombo kinachotumiwa na us kwa sasa kinaondoa vikwazo ktk safu yake ya uongozi ambapo kinalazimishwa kupitisha vita kubwa nyingine ambayo us inataka ipitishwe na un....by the way ban kimoon himselfn he has proved failure kwa kulazimishwa kuunga mkono vita ya libya so yeye km kiongozi mkuu wa un kawafanyia nini wa africa zaidi ya kutuongezea machungu na pia kuzidi kutugawa wa wa africa mf sudan imemegeka through un...

it was just a ceremonial appointment, angefanya nini zaidi?
 
aaah! Maza wetu karibu bongo tena,i hope umemisis rost la dagaa,bamia na nyanya chungu na tembele lililochumwa nyuma ya choo limestawi kwa maji ya bafuni na choo kinachovuja.karibu sana mabondeni kwetu. Uje umpige tafu mkulu maana nchi imemshinda
 
Wow, Asha Rose Migiro for President 2015. Itakuwa raha sana siku ntaona Asha Rose anakuwa mwanamke wa kwanza Rais wa JMT. Mbona ntafurahi.
Ni kweli ni mwanamke mwenzio ila afike Ikulu kwa nguvu na uwezo wake sio kwa kubebwa. Wanawake wanaopata vyeo kwa kubebwa hawasaidii mapinduzi ya wanawake bali wanawadhalilisha...
 
Wakati tupo masomoni pale juu akitufundisha, alikuwa ana metembezi na profesa mmoja ambae ilikuwa inajulikana wazi yupo safarini, na haikuchukua muda, pro huyu akasafiri. Baada ya yule prof kusafiri, mama akapotea ghafla,na baadae tukaja sikia kaingia kwenye siasa. Huu sio uzushi, ni taarifa zilizokuwa zinasambaa tukiwa pale juu, kwa mufa mrefu mpaka yule prof aliposafiri, huku mama nae kupotea. Wanafunzi wake wengi wanalijua hilo, hasa wale wa miaka yake 2-3 ya mwisho mwisho.
Safari ya wapi hiyo? Funguka kidogo
 
Niliweka post moja hapa kwamba Migiro hatulii ofisini lakini wakanirushia maji ya kuwasha. Haya ni matokeo yake kwani watanzania tumezoea kulindana kwa kutazamani nyusoni tofauti na wazungu na mataifa mengine yanatazama utendaji na uwajibikaji wa mtu. Huyu mama kwa kweli hakutulia ofisini, maana alijifanya kama na yeye yuko Kaibu Mkuu vile. Na pia alionekana kama ni mwakilishi wa Tanzania umoja wa Mataifa badala ya kuwa naibu katibu mkuu wa umoja wa matifa.

Watanzania wamezoea kulindana na kujuana na matokeo ya nafasi adimu za kukirimiwa kama hizi sasa zinatuumbua na kutoka vichwa chini? Kama tulichoongelea hapa tungekuwa makini na kuchukulia ushauri na kufanyia marekebisho huenda mambo yangekuwa kinyume cha haya yanayotokea leo.

Sheikh vitu vingine tuongee kwa takwimu. Nenda website ya UN, kwa nafasi yake Mama Migiro alikuwa ni msaidizi wa Katibu Mkuu so alikuwa anatumwa na ziara zake zinaratibiwa na UN office. Hata ukimuona nyumbani ilikuwa inaratibiwa na UN ofisi so si kosa kurudi nyumbani. Tutafute lingine la kumkosoa.
 
Hivi jamani waungwana mlitaka mama wa watu afanye kitu gani zaidi katika utendaji wake? Its really sad kuona watanzania tunavyopondana hivi. Tujifunze ku-appreciate. Kazi si ya permanent na wote tunalijua hili. Appointment kama hii ni uamuzi wa Katibu Mkuu. Its really sad. Anyway, ndo Tanzania yetu tunajuana na ofcourse ni wachache tunaopenda maendeleo ya wengine.
 
Akifanikiwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 atakuwa ameweka histotia si tu hapa bongo kuwa mwanamke wa kwanza bali hata huko Umoja wa Mataifa; kwani viongozi wengi waliotoka huko na kujaribu kuwa viomgozi wa nchi zao walishindwa akiwamo katibu mkuu wa wa umoja wa Mataifa Pieres de Cuelle kutoka Peru aliyeshindwa kuwa rais baada ya kumaliza muda wake kule U.N.!!
 
pamoja na kujulikana kwamba katibu mkuu waun ndio anateua wasaidizi wake, ukweli ni kwamba uteuzi huo hufanywa baada yakatibu mkuu kufanya « consultations » nyingi hususan na mataifamakubwa. mara nyingi mtu ambaye hatimaye anateuliwa ni yule ambaye « wakubwa »wanaimani hatawasumbua sana katika mikakati yao ya « kuendesha » dunia.
sasa tujiulize katiak kipindi hicho chamiaka 5 ni nini kimetokea ? je misimamo wa tanzania katika masualambalimbali ya kimataifa imekuwaje ? je misimamo hii imemsaidia vipi mamamigiro kutekeleza majukumu yake ? je yeye mwenyewe amekuwa na mtazamo ganikatika masuala mbali mbali ya dunia ?
sitashangaa iwapo moja ya masharti ya banki-moon kuongezewa miaka mingine 5 ilikuwa kuingiza sura mpya ili mambo ya “wakubwa”yaende vyema. Kwa vile nafasi hazijaongezwa hivyo ni budi waliopo watemwe.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Inasemekana huyu mama ndio chaguo la mkweree kumrithi urais come 2015, kama ni hivyo ni dhahiri kuwa mkweree hajafanya mabadiliko ya baraza lake la mawaziri inspite of all the scandals his ministers were involved anticipating her return so that she lands a cabinet post that will allow her to be locally exposed as opposed to the international exposure that she got while in New york!! Hivyo msijekushangaa Asha akapata ubunge wa kuteuliwa kwani mkweree bado ana viti vyake havijajazwa na baadae uwaziri ambao alikuwa nao anyway kabla hajaondoka!!
 
She has done on her part!Ni busara tukampongeza na si kumkejeri kwani nafasi aliyokuwa nayo si lelemama. Siamini kwamba kashindwa kuperform kwani ingekuwa hivyo
Ban ki Moon asingepitishwa kwa kishindo kwa term ya pili.Mind u she was second from top and interchangeable duties with her boss.

Tutambue kuwa nafasi yake na ya Ban katika UN upatikana kwa njia ya lobbying na kwa sehemu kubwa maamuzi ya wakubwa kwa maana ya Security Council Members pamoja na some members in General Assemby ni muhimu kuzingatiwa (ndio wenye kura). Haikuwa rahisi kumreplace Ban lakini kupita kwake kwa kishindo lazima atakuwa na back up ya kutoa fadhira kwa Nchi fulani fulani hasa za Amerika ya Kusini ili ku build universal combination baada ya Africa.

Haizuii kuwa na mawazo tofauti hapa kwani kila mmoja ata perceive tofauti. Kwa kuwa wengi tumetawaliwa na siasa za Urais, lazima maoni mengi yataangukia huko. Asha amekuwa akitajwa sana kwenye mambo ya Urais, sasa tuliwezaje kumtaja huku tukijua she will be out from UN after election?.

Watanzania tuwe na Uzalendo na tuache kubezana hata kwa yale yaliyo wazi. Ni dhahiri katika kipindi chake Nchi yetu imesikika saana na nafasi nyingi za uongozi wa kitaifa tumepata (wenyeviti wa commission mbali mbali duniani).

Good Job Asha welcome home as a HERO.
 
Inasemekana huyu mama ndio chaguo la mkweree kumrithi urais come 2015, kama ni hivyo ni dhahiri kuwa mkweree hajafanya mabadiliko ya baraza lake la mawaziri inspite of all the scandals his ministers were involved anticipating her return so that she lands a cabinet post that will allow her to be locally exposed as opposed to the international exposure that she got while in New york!! Hivyo msijekushangaa Asha akapata ubunge wa kuteuliwa kwani mkweree bado ana viti vyake havijajazwa na baadae uwaziri ambao alikuwa nao anyway kabla hajaondoka!!

nimekupata mkuu umenena vema.kwani ****** ndo anatuchagulia rais?wallah akikosea kumchomeka huyu bibie hata 5 bora hapiti.na akipita ccm kura zitakuwa kama cuf 2010.jk ana mawili 1.rais atoke zmz na pili zamu ya kina mama ili lengo litimie kuwa anashika nchi mcheza bao.bye nalala
 
Back
Top Bottom