Kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) wameipiga chini tarehe 30 April kuwa siyo siku ya kupiga kura ya maoni juu ya katiba inayopendekezwa,kunadhihirisha uwezo mdogo wa Bi.Migiro katika masuala ya uongozi,na sasa sishangai basi kwamba UN walimtema baada ya mhula mmoja tu;ni wazi hakuwa na uwezo wa kutosha kumsaidia kazi Katibu Mkuu wa UN kama ilivyo sasa kwamba hana uwezo wa kutosha kumsaidia kazi Rais Kikwete.
Ikiwa wazi kwa kila mtu kuwa isingewezekana refendum kufanyika tarehe 30 April, Migiro alijitokeza na kuanza kulumbana na maaskofu eti kura ya maoni lazima ifanyike kama ilivyopangwa!!!
Migiro na Pinda sahauni urais,mtaondoka na JK.