John Stuart mill
Member
- Nov 13, 2013
- 43
- 12
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipungia wananchi wakati akirejea kijiji cha Lituhi kwa kuvuka mto Ruhuhu kwa mtumbwi, baada ya kutoka kuwasalimu wakazi wa kijiji cha Kipingu wilayani Ludewa,wengine pichani ni Dk.Asha-Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa pamoja na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Ndugu Oddo Mwisho.
Mh Rais Jakaya Kikwete kwa wakazi wa kijiji hicho.![]()
Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro akiwasalimia wakazi wa kijiji cha Lituhi wakiwa ndani ya Mtumbwi wakitokea katika kijiji cha Kipingu wilayani Ludewa,shoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Huyo ni Past Tense Material !wala haumizi kichwa