Mifumo Haina ushirikiano

Mifumo Haina ushirikiano

Barua ya utambulisho ya unakoishi ni muhimu sana hata mimi nilidhani ni usumbufu kumbe ni lazima mfano umepata tatizo ama umesababisha tatizo msaada utapatikana wapi
Hebu kuwa serious una kitambulisho cha mida mkuu hiyo barua ya kazi gani?..Au unaongelea ukiwa ume relocate ?
 
Tatizo linaanzia kwa wazee wafanya maamuzi ya lidera waliojazana Serikalini hata baada ya kustaafu.
Mbinu za miaka ya 70 ndizo zinazotumika katika karne ya 21 huku vijana wanaopaswa kuendesha nchi kisasa wakiwa nje ya mfumo licha ya kusoma na kuhitimu....
Sisi Bado sana, Tunaotaji Wa Africa Tunaotaji kutawariwa Tena Ili Akili Zetu zitukae sawa.
 
Barua ya utambulisho ya unakoishi ni muhimu sana hata mimi nilidhani ni usumbufu kumbe ni lazima mfano umepata tatizo ama umesababisha tatizo msaada utapatikana wapi
Kitambulisho Cha NIDA.....Akifanyiwi Update ya mtaa, au nyumba unayoishi kwa sasa.
 
Hebu kuwa serious una kitambulisho cha mida mkuu hiyo barua ya kazi gani?..Au unaongelea ukiwa ume relocate ?
Wewe ndiye hauko serious soma nilichoandika na kuelewa
You have to read between lines

Narudia taarifa ya unakoishi ni muhimu kuliko hata hicho kitambulisho cha NIDA

Swali je wewe umejaliwa makazi ya muda wote? Yaani huwezi kuhama kikazi ama kivyovyote vile

Swali je umewahi kushuhudia watu wana hama mikoa wilaya ama mitaa?

Tatizo mna kalili kila kitu
 
Ndio hoja ya mtoa hoja...
Kwanini mifumo isisomane.

Wakiingiza namba moja tu basi itupe taarifa zako zoteee.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Kwanini mnabadilisha makazi na mkibadilsha makazi mifumo yenu Ina hiyo option ya kujua Kama mme badilisha makazi

Hiyo mifumo yenu inaweza sasisha mlipo kwasasa na kama haiwezi kufanya hivyo kwa wakati mnataka nyie nini kifanyike

Do you have background knowledge to update technology, (changing technology)
 
[OTE="Liverpool VPN, post: 54748147, member: 607629"]
Ndio hoja ya mtoa hoja...
Kwanini mifumo isisomane.

Wakiingiza namba moja tu basi itu
Asante kwa kunielewa ndugu,
Mfumo uwe wa kueleweka Full Documents, hata ukiama mtaa documents, unapoenda zinakuitaji ku update Taarifa zako.
Pia mpaka Hospital documents zinakuepo ktk kitambulisho chako.
 
Kwanini mnabadilisha makazi na mkibadilsha makazi mifumo yenu Ina hiyo option ya kujua Kama mme badilisha makazi

Hiyo mifumo yenu inaweza sasisha mlipo kwasasa na kama haiwezi kufanya hivyo kwa wakati mnataka nyie nini kifanyike

Do you have background knowledge to update technology, (changing technology)
Tupate mfumo mmoja wenye namba moja mfumo huo @ namba hiyo
Itasoma NHIF, NIDA, PASSPORT, MAKAZI, TRA yaani kokote.
Ukifika ofisi x ukaingiza hiyo namba, namba hjyo isome kila kitu kuhusu wewe.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Tupate mfumo mmoja wenye namba moja mfumo huo @ namba hiyo
Itasoma NHIF, NIDA, PASSPORT, MAKAZI, TRA yaani kokote.
Ukifika ofisi x ukaingiza hiyo namba, namba hjyo isome kila kitu kuhusu wewe.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Noted with thanks
 
Mtu una vielelezo hivi
1. Cheti Cha kuzaliwa
2.Cheti Cha shule ya msingi
3.Cheti Cha secondary
4. Cheti Cha ufundi veta.
5.TIN number
6.Reseni ya Biashara
7.Kitambulisho Cha NIDA
8.Passport ya Tanzania

• Sasa mtu ukienda kupata Huduma ktk Hofisi za watawala wanakuambia kalete Barua ya Utambulisho wa wa Serikali ya mtaa/ Utambulisho wa mtendaji.
• Hawana uwakika kama ni mtanzania, Mifumo Haisomani na Wala Hawaziamini Documents zao.

• Kwa mtazamo wangu Hawa Hata kitambulisho chao Cha Taifa wakiamini wakati kina Taarifa zote za mtu, pia kuna ku update Taarifa za mtu. Yaani Mambo mengi Wanafanya kama tunaishi Karne 15
Hawakiamini kitambulisho chao Cha Taifa.
Hii ndo Tanzania niliomba cheti cha kuzaliwa online RITA, baada ya kujaza taarifa walizohitaji na wakajiridhisha waliniambia nikachukuwe cheti mahali nilipochagua, nimeenda hapo Kibaha kila siku wanasababu mpya, mara ya kwanza walisema nipeleke document original nilizoambatanisha wakati wa kuomba, nilivoenda na document walizohitaji, wakadai nikatoe kopi, unajiuliza hii copy ndo iliyoko mtandaon ambayo hawakutambua, imepelekwa kopi wanasema haionekani, haya nifanyeje nenda katoe kopi pale kwenye kontena, lengo uache maokoto. Nimetoa kopi pale walipotaka ikaanza njoo jumanne, ukienda njoo Alhamis, ukienda Alhamis unambiwa printer haina wino, mara printer imeenda kwenye maonyesho yaani kila siku ni upuuzi upuuzi tu. Ni sawa na kuwambia mtu eti aka certify cheti cha shule, hivi huyu mwanasheria anayepelekewa cheti dakika moja na kugonga mhuri huwa ana-certify kitu gani?
 
Wewe ndiye hauko serious soma nilichoandika na kuelewa
You have to read between lines

Narudia taarifa ya unakoishi ni muhimu kuliko hata hicho kitambulisho cha NIDA

Swali je wewe umejaliwa makazi ya muda wote? Yaani huwezi kuhama kikazi ama kivyovyote vile

Swali je umewahi kushuhudia watu wana hama mikoa wilaya ama mitaa?

Tatizo mna kalili kila kitu
jamaa si nimeongelea masala ya kurelocate au ?
 
B
Mtu una vielelezo hivi
1. Cheti Cha kuzaliwa
2.Cheti Cha shule ya msingi
3.Cheti Cha secondary
4. Cheti Cha ufundi veta.
5.TIN number
6.Reseni ya Biashara
7.Kitambulisho Cha NIDA
8.Passport ya Tanzania

• Sasa mtu ukienda kupata Huduma ktk Hofisi za watawala wanakuambia kalete Barua ya Utambulisho wa wa Serikali ya mtaa/ Utambulisho wa mtendaji.
• Hawana uwakika kama ni mtanzania, Mifumo Haisomani na Wala Hawaziamini Documents zao.

• Kwa mtazamo wangu Hawa Hata kitambulisho chao Cha Taifa wakiamini wakati kina Taarifa zote za mtu, pia kuna ku update Taarifa za mtu. Yaani Mambo mengi Wanafanya kama tunaishi Karne 15
Hawakiamini kitambulisho chao Cha Taifa.
BOngo daslam kila kitu deal,kila kitu fursa kama sio fursa na deal
 
Anuani za makazi labd ni chache tu ambazo ziko digitalized therefore that system in your mind will not work now
it should be working, right? shouldn't it ?...Hivi ndio vitu vya kufanyia kazi masta tutarahisisha mambo mengi sana
 
Mtu una vielelezo hivi
1. Cheti Cha kuzaliwa
2.Cheti Cha shule ya msingi
3.Cheti Cha secondary
4. Cheti Cha ufundi veta.
5.TIN number
6.Reseni ya Biashara
7.Kitambulisho Cha NIDA
8.Passport ya Tanzania

• Sasa mtu ukienda kupata Huduma ktk Hofisi za watawala wanakuambia kalete Barua ya Utambulisho wa wa Serikali ya mtaa/ Utambulisho wa mtendaji.
• Hawana uwakika kama ni mtanzania, Mifumo Haisomani na Wala Hawaziamini Documents zao.

• Kwa mtazamo wangu Hawa Hata kitambulisho chao Cha Taifa wakiamini wakati kina Taarifa zote za mtu, pia kuna ku update Taarifa za mtu. Yaani Mambo mengi Wanafanya kama tunaishi Karne 15
Hawakiamini kitambulisho chao Cha Taifa.
Sipendi kuambiwa nikalete utambulisho WA mtendaji,hata sijui Kwa Nini!
 
Back
Top Bottom