Hbr wana-Jf?Tayari nipo kwny mahusiano na kijana ambaye tunaonyesha dhamira za kupendana sana.Japo tulikuwa ktk mahusiano km miez 6 kwnz ya urafiki wa kawaida tu.Hatimaye tumeanza ya ukaribu zaidi miezi miwili iliyopita.Ananishauri mawazo mazuri, na tupo kwny harakati za kutaka nikapafahamu kwao Mwanza,tupo Moro wote.
Ila toka week hii ianze ananishawishi nimpe mautam.Ni busara kweli kumpa na je nisipompa akitafuta kwingine je na kunogewa huko?Japo nilipenda iwe hadi baada ya ndoa.Mi nipo fit,I hope nae yupo physically fit too na hata ikiwa tofauti I will be ready kuvumilia yote.
Plz nifanyeje?
Hbr wana-Jf?Tayari nipo kwny mahusiano na kijana ambaye tunaonyesha dhamira za kupendana sana.Japo tulikuwa ktk mahusiano km miez 6 kwnz ya urafiki wa kawaida tu.Hatimaye tumeanza ya ukaribu zaidi miezi miwili iliyopita.Ananishauri mawazo mazuri, na tupo kwny harakati za kutaka nikapafahamu kwao Mwanza,tupo Moro wote.
Ila toka week hii ianze ananishawishi nimpe mautam.Ni busara kweli kumpa na je nisipompa akitafuta kwingine je na kunogewa huko?Japo nilipenda iwe hadi baada ya ndoa.Mi nipo fit,I hope nae yupo physically fit too na hata ikiwa tofauti I will be ready kuvumilia yote.
Plz nifanyeje?
Hbr wana-Jf?Tayari nipo kwny mahusiano na kijana ambaye tunaonyesha dhamira za kupendana sana.Japo tulikuwa ktk mahusiano km miez 6 kwnz ya urafiki wa kawaida tu.Hatimaye tumeanza ya ukaribu zaidi miezi miwili iliyopita.Ananishauri mawazo mazuri, na tupo kwny harakati za kutaka nikapafahamu kwao Mwanza,tupo Moro wote.
Ila toka week hii ianze ananishawishi nimpe mautam.Ni busara kweli kumpa na je nisipompa akitafuta kwingine je na kunogewa huko?Japo nilipenda iwe hadi baada ya ndoa.Mi nipo fit,I hope nae yupo physically fit too na hata ikiwa tofauti I will be ready kuvumilia yote.
Plz nifanyeje?
Mpe kabisa 0713. Tumechoka sasaHbr wana-Jf?Tayari nipo kwny mahusiano na kijana ambaye tunaonyesha dhamira za kupendana sana.Japo tulikuwa ktk mahusiano km miez 6 kwnz ya urafiki wa kawaida tu.Hatimaye tumeanza ya ukaribu zaidi miezi miwili iliyopita.Ananishauri mawazo mazuri, na tupo kwny harakati za kutaka nikapafahamu kwao Mwanza,tupo Moro wote.
Ila toka week hii ianze ananishawishi nimpe mautam.Ni busara kweli kumpa na je nisipompa akitafuta kwingine je na kunogewa huko?Japo nilipenda iwe hadi baada ya ndoa.Mi nipo fit,I hope nae yupo physically fit too na hata ikiwa tofauti I will be ready kuvumilia yote.
Plz nifanyeje?
Ukimpa tu yanatokea haya, kwanza.. Unashuka thamani kwake sasa hivi your very precious.... Siku ukimpa jinsi alivyokuwa anakuothamini inatoweka....
Kama anakupenda kweli kweli hata ukimnyima miaka 2 still haendi popote...
Pili.. Inategemea atakchopata kwako najua wewe ni armature shughuli bila shaka sio ya professionali so aki compare na kule alikokopita au akicompare na expectations zake kama anavyosikia kwa wanaume wenzake you will definitely fall short of his std so he will degrade you
So usimpe hadi mfunge ndoa deside uzinzi ni dhambi mbaya sana... Mwenyezi hapendi hata kidogo ndio maana ndoa nyingi leo zimegeuka laana badala ya mbaraka
Omurwanga badooo cjampa,anakuja kunitembelea Ijum na tutoke kdg sasa ndo najipanga kumpa au lah
whaaaaaat!??? miezi miwili.... imekua visa hiyo, unafatilia all that time!!! kuna wanaume wanamioyo ya chuma asee
Omurwanga badooo cjampa,anakuja kunitembelea Ijum na tutoke kdg sasa ndo najipanga kumpa au lah