Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,522
- 1,761
Utakuwa ni miongoni wa wale waliozoea "Hela za Bure Bure". Pole sana.Tunaambiwa makusanyo ni makubwa, mianya ya wizi imedhibitiwa ikiwa na utoroshaji wa fedha nje. Lakini mbona thamani ya fedha yetu haiboreki zaidi ya kudidimia ingawa sio kwa kasi lakini ni polepole.
Tarehe 10/11/2015
View attachment 366171
Leo hii tarehe 14/7/2016
View attachment 366173