Tanzania ya viwanda inakuja tuwe na subira.Tutasubiri hata miaka 100 utwala Wa miccm majanga makubwa
Tanzania ya viwanda inakuja tuwe na subira.Tutasubiri hata miaka 100 utwala Wa miccm majanga makubwa
Humu JF watu wanatukanana na kuzodoana sana!Nakushauri wewe ndiyo ukapumzishe akili kwani nadhani uji wa chumvi umekulevya
Hukulalamika miaka 50 iliyopita, unalalamika miezi 8 tu. Mnafiki mkubwa.Tunaambiwa makusanyo ni makubwa, mianya ya wizi imedhibitiwa ikiwa na utoroshaji wa fedha nje. Lakini mbona thamani ya fedha yetu haiboreki zaidi ya kudidimia ingawa sio kwa kasi lakini ni polepole.
Tarehe 10/11/2015
View attachment 366171
Leo hii tarehe 14/7/2016
View attachment 366173
Hiyo miaka 50 ilikuwa ya chama cha upinzani?Hukulalamika miaka 50 iliyopita, unalalamika miezi 8 tu. Mnafiki mkubwa.
Yap,tulisha ambiwa kuwa ccm ni ileile, hivyo tusitegemee mabadiliko yoyote yaleKwa hiyo mambo ni yale yale?
Wewe uliye iona hiyo upo mkoa gani wa hapa tanzania kwenye unafuu wa maisha?Mimi nimeiona na naiona kazi nzuri anayoifanya mheshimiwa rais Magufuli pamoja na viongozi wengine wa serikali ya awamu hii ya tano. Ndugu zangu, nchi hii ni kubwa sana, kwa hiyo huwezi kuhisi mabadiliko ndani ya kipindi hiki kifupi. Huwezi kupanda mazao leo ukatarajia kuvuna mazao hayo kesho. Mimi nadhani hiki ni kipindi kifupi tu cha mpito, natabiri kutokea mabadiliko chanya makubwa katika nyanja za uchumi, huduma za jamii, miundombinu nk.
Nivema ukaanza kumpikia na kumtandikia mumeoNaona Kaoge umeibukia JF sasa! Sio Take One humu.
Swali zuri sana kwa wana wa lumumbaKazi zipo?
Umchinga uufanyie wapi?
Hela na mtaji wa kununua shamba itoke wapi/
Mtaji wa biashara utoke wapi?
BOT,TRA,NSSF,PPF,PSPF nk utajiriwaje na Baba yako sio M-NEC?
"Fanya kazi,fanya kazi" Kazi gani?
Kabla serikali yenu haijaingia madarakani mlikuta sukari kilo moja inauzwa sh 1700/=mkaona tunafaidi mkaamua kuizuia na hatimae kuipandisha bei leo hii tunanunua kilo moja sh 3000!Wewe utakua ni mcheza kamari. Mnapenda papo kwa hapo.
Issue ya sugar ni outdated mjomba MmawiaKabla serikali yenu haijaingia madarakani mlikuta sukari kilo moja inauzwa sh 1700/=mkaona tunafaidi mkaamua kuizuia na hatimae kuipandisha bei leo hii tunanunua kilo moja sh 3000!
Haiwezi kuwa outdated kwani njaa haina likizo,sukari ni bidhaa ya lazima kwa mwanadamuIssue ya sugar ni outdated mjomba Mmawia
Mbona huku kwetu ni nyingi na bei ni 2300Haiwezi kuwa outdated kwani njaa haina likizo,sukari ni bidhaa ya lazima kwa mwanadamu
Labda kama kwenu ni dodomaMbona huku kwetu ni nyingi na bei ni 2300
Wewe kama kwenu ni dodoma sawa sukari mtaipata kwa bei ya chini sanaNchi hii mjomba kila sehemu ni nyumbani tu hata Dom ni home pia au we kwenu dar japo ni msandawi