Miezi 7 since October 7 2023: Hizi ni Video za matukio ya kikatili yaliyofanywa na magaidi wa Hamas, Israel wana kila sababu kudeal nao

b
Tahaira kweli si mnasema wayahudi wanapiga ukristo Sasa unaingizaje ukristo na uyahudi?. Acha kuweweseka hapo haiusiki dini. Kwahiyo walipouwa ulitaka waaoheshwe na kupakwa mafuta waende harusini? Myahudi uwa na yeye atakuuwa ndiyo maisha yao.
baada ya mlichofanya 7th Oct mlitakwa wayaudi wawapongeze ? bila iron dome je zile rockets 5000 zilikuwa zinalenga wanajeshi tu ?
 
waarab wanasema bora mwarab kafir kuliko mbantu mwislam , endelea kushabikia dini za watu
Tayari umekimbilia kwenye Dini....
Hakuna sehemu nimeandika kuhusu dini...inaonekana wewe ndiye unashabikia dini.

Wayahudi unaowashabikia leo hii, ndiyo walio mtundika Jesus Msalabani.
 
Mods Active Pitieni badhi ya video Mziondoe ni zakuogofya Jf inatembelewa na watu wa kila rika sasa hivi.
 
HAKUNA MUISLAM ANAYEMPENDA MKRISTO hata allah shetan mkuu amewambia hivyo ajabu huyo allah hazungumzii wapagani wala dini zngne yeye vita yake n wakristo na wayahudi. ninarudia tena hakuna muislam anayempenda mkristo muda wowote na sku yoyote muislam akipewa fursa ya kuua mtu ataua mkristo maana dini yao ndvyo imeamrisha hivyo, dini ya kulazmisha kila mtu awe muislam, KAMA AMBAVYO WAISLAM WANASHABIKIA WAARABU wasiowapenda waafrika ndvyo wakristo nao waachwe na msimamo wao wa kushabkia wayahudi wasiowapenda. Kama ambavyo waislam wa kiafrika wanavyowashabkia china na urusi wkt hata si waislam ndvyo na wakristo wa kiafrka waachwe na msimamo wao kushabkia wazungu na mataifa yao kama marekani, mataifa ya ulaya nk. Kila mtu amuheshmu mwenzie kama n mauaji hata wapalestina wanaua sn wayahudi na kama wao ndo wangekuwa na nguvu hapo hakika wangewamaliza wayahudi wote maana hata allah shetan mkuu amewaamuru hlo. Narudia tena ewe mkristo ukae ukijua hakuna muislam anayekupenda hata awe ndugu yako wa damu.
 
Ikumbukwe pia Hamas wanatumia raia wapalestina kama ngao, Kwa maksudi wanaweka mizinga ya kufyatulia makombora kwenye maghorofa wanayoshi watu
Kule westbank hakuna Hamas wala ugaidi unaweza nisaidia kwanini bado wapalestina wanauwawa kila siku? Mnatafuta justification za kijinga tu
 
Tayari umekimbilia kwenye Dini....
Hakuna sehemu nimeandika kuhusu dini...inaonekana wewe ndiye unashabikia dini.

Wayahudi unaowashabikia leo hii, ndiyo walio mtundika Jesus Msalabani.
Hatushabikii wayahudi tunachokataa ni aridhi ya jerusalem kukaliwa na magaidi,
 
Hatushabikii wayahudi tunachokataa ni aridhi ya jerusalem kukaliwa na magaidi,
Magaidi ni watu gani...? Wanao pigania uhuru..?
Ukipigania uhuru wako unakuwa gaidi...?

Kinjekitile, Mkwawa, Mangimeli na wapigania uhuru wote wa Afrika tuwaite magaidi...?

Waje watu kutoka walikotoka na wadai kuwa Tanzania ilikuwa ardhi ya mababu zao wewe utakubali kuwapisha..?
Na ukiwapisha utaenda wapi ikiwa umezaliwa hapo wewe na baba na babu zako.

OCTOBER 7, 2023 haikuwa mara ya kwanza kwa HAMAS kuanzisha mapigano na IDF.

Harakati za HAMAS zitakoma punde tu wakipata uhuru wao.
Wanao ongoza kwa takwimu za mauaji ni wazungu, na hata siku moja hauto sikia wakiitwa magaidi.

Imefikia hatua Athuman akivamia na Bank, au akifanya unyanga'anyi wowote ule ataitwa gaidi kwa sababu anajina la kiislamu.

Ila vitendo hivyo akifanya John, ataitwa jambazi.

HAMZA aliitwa gaidi kwa sababu ya jina lake, lakini tukio alilofanya lilikuwa la kisasi but kwa watu wasiohusika, ila amini nakwambia kwenye 'HAMZA' weka JOHN...neno gaidi lisinge husika hata kama tukio ni sawa na la HAMZA..

Dunia ina propaganda nyingi sana, usipo washa data utaamini kila aina ya uongo.

Waislam ni watu poa sana, hawana shida na na wakristo.
Wapo waislamu na wakristo wasio kuwa na akili ndiyo huingia kwenye mtego wa Propaganda na kuanza kuchukiana.

Tafuta uhuru wako kwa gharama yoyote ile, usikubali kudhulumiwa kamwe.
 
We hujui lolote, Mandela alilipua majengo mangapi South Africa akiua mamia ya watu mbona tunamuita shujaa? Kupambana na wavamizi haijawahi kuwa rahisi.
Dini ishakula akili yako.You can no longer reason.Ooooh kumbe idol wako ni yule msaliti eeeeeeeh
 
Hizo video hebu tuonyeshe wapi Hamasi kavunja hospital, shule, majumba na angeweza fanya vile, walicho fanya walienda camp za jeshi na kuteka walio wateka hawakuwauwa raia wala watoto au kurape.
Hao magaidi wa Hamas walianza kuvamia tamasha la mziki la watoto wakaua zaidi ya 1000 na kuteka wengine, wasichana na wavulana
 
Tayari umekimbilia kwenye Dini....
Hakuna sehemu nimeandika kuhusu dini...inaonekana wewe ndiye unashabikia dini.

Wayahudi unaowashabikia leo hii, ndiyo walio mtundika Jesus Msalabani.
Sheria ya wayahudia ni kupiga kwa mawe mpaka kufa.
Sheria ya warumi ni kutundika kwenye nguzo.
Je alitundikwa au alipigwa mawe?
 
We bwanamdogo umevurugwa kwelikweli, mimi na nani tunasema Israel ni taifa la Mungu?

Tatizo lako una mihemko mno, tuliza hizo hisia kwanza halafu shusha pumzi nyingi, then anza kutype taratibu.
Usipayuke kama mwendawazimu kijana, unaonekana juha na hoja zako unazopigania zinayeyuka kwa lugha mbofu unayotumia.

Nimeita Moderator ili walau wakusaidie uufikishe ujumbe wako na ueleweke na sio kwasababu unawaogopa au unalipwa na jf(hapo kama kidume umepuyanga kuleta mipasho)
We mimi na kuzaa wewe usinite bwana mdogo, afu nyie wakristo ndio mnaitetea Israel mkidai eti taifa teule, au uwongo.

Sa we unapindisha lugha sasa kwanza ulicho ongea ulikuwa unakusudia vingine, mnataka nyie wakristo muwe mnatukana Waislam tuwape mauwa au 😄

Mkitukana na sisi tunayajua matusi, msidhani ni nyie tu mnajua matusi.

Nenda basi Israel ukafie kwenye nchi yenu teule unabaki nini Tanzania, wakati si nchi teule 😄
 
Back
Top Bottom