Ladymasa ni muda sasa wakutafakari nakupitia mapito yetu ili kuona wapi tulikosea mwaka 2013 katika hilo tunaweza kufanya vyema katika huu mwakaAhsante na wewe pia nami nawatakia kheri Lady doctor KOKUTONA Passion Lady Mr Rocky duh! nawengine nliowasahau nikikumbuka ntawataja
kheri ya mwaka mpya na maisha marefu yenye nguvu afya amani na furaha tele.
Honey Faithmie nawatakia wote wa humu ndani heri ya mwaka mpya
kaka View attachment 129701 umetimiza mingapi ???
hakika apewe sifa muumba wa dunia na vilivyomosio mingi nakaribia kutimiza malengo niliyojiwekea mungu akijaalia kabala ya 40....
mie nawatakia wote wa humu ndani heri ya mwaka mpya
nawatakia heri ya mwaka mpya....
Ahsante na wewe pia nami nawatakia kheri Lady doctor@Kokutona@Passion lady@MR ROCKY duh! nawengine nliowasahau nikikumbuka ntawataja
kheri ya mwaka mpya na maisha marefu yenye nguvu afya amani na furaha tele.
nanyi pia
huu uchoyo sasa, utajitakiaje mwenyewe.. mi nakutakia wewenajitakia kila la heri
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us