gen parton
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 642
- 411
huyu pimbi kwa hiyo alitaka tukae kikao cha walipa kodi tuidhinishe ndege kurushwa afu anauliza et kuna tija kwa taifa? kweli ujinga mzigoSiasa mbaya sana!
huyu pimbi kwa hiyo alitaka tukae kikao cha walipa kodi tuidhinishe ndege kurushwa afu anauliza et kuna tija kwa taifa? kweli ujinga mzigoSiasa mbaya sana!
Mie nasikitika tunazo chache. Squadron ni ndege 12 kutengeneza V inayo onekana vizuri kwa maonyesho ya kijeshi na hata kwa shambulizi la nguvu kwa muda mfupi.Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
Hayo mafuta ni kwa hisani ya watu wa marekani
Wee vipi? Hizo si ndege za vita zinafanya mazoezi!..Sasa bila mazoezi ikitokea vita itakuaje? Halafu iko shereshe 9 dec,kwani kwa akili yako huoni ni mazoezi kwa maonesho ya siku hiyo?Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
Hivi wale jamaa wanaomiliki bastora wanazijaribu wapi kuona km zitaganya kazi wkt wa tukio? Au ndo maana mnasema ile ya ditopile ilifyatuka yenyewe?mkuu inabidi ziwezinawashwa na kurushwa mara kwa mara ili tuwe na uhakika kuwa ni nzima!au we unasubiri tukiwa tunataka kuzitumia ndo tuzi test!!!
Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
Jina lenyewe msh(a)mba halafu unataraji nini HassanHivi wewe unadhani Jamii Forum ni ukurasa wa wapumbavu. Una elimu gani kuhusu taratibu za urukaji wa ndege za jeshi? Kuona ndege za jeshi zinaruka unakurupuka eti mafuta kodi ya wananchi inatumika vibaya. Unajua hiyo ndege imenunuliwa na kodi hiyohiyo ya wananchi au kwa upeo wako mdogo ukajua jeshi limenunua ndege ili lichezee mafuta ya wananchi? Haya mambo sio ya kukurupuka kwenye mitandao kama hii unajiandikia tu. Kumbuka hii nchi inalindwa na wanajeshi mpaka wewe unapata jeuri ya kuongea madudu yako humu. Ndege za jeahi la wananchi katika anga hili la watanzania zitaruka mahala popote pale na wakati wowote ule na hii no katoka kutekeleza majukumu yake kipindi cha amani ili kurahisisha mapambano kipindi cha Vita.