Embu tupia CV yako then tutakua huru kuchangia!Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
ha,ha,ha,haaaaaa..,aiseee kunawatu mmeumbwa kutufurahisha na kutupunguzia stress za maisha,kwi kwi kwiii.Bravo mkuu,u have really made my day.Hayo mafuta ni kwa hisani ya watu wa marekani
Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
Mkuu ni bora ziruke time 2 time... kulikoni !! Hii techno. mitambo ya anga ni lazima kuwa katika hali ya mzunguko.. Laa sivyo ukarabati wake utagharimu zaidi ya bei walonunulia !!Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
weka Picha!!!
Marekani ilikua imefunga baadhi ya idara kwa kusubiria bajeti .sisi wafanyakazi wengine hawajapewa chao tare 33 sasa tunarusha ndege ahahahahah BRN
Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa
Mi binafsi nimependa zilivyopita.. Suala la kodi hapo sio point kwa sababu lazima zirushwe either kwa mazoezi au kwa maonyesho siku ya uhuru.
Mmh na wewe mkuda! Hizo gharama kwan wanatoa mfukoni kwako? Unajua hata juzi Ukimwi day zilitumika gharama nyingi hukuhoji tuu au sababu madege yaapiga kelele? Wanapasha wakijiandaa na Uhuru day na kagame. Tanzania ni nchi ya Projects hapo watu washatunisha wallets zao.
Heshima kwenu waungwana,
kwa mliopo dar wengi wenu mtakua mmeshuhudia ndege tatu za jeshi zikiwa zinarushwa kwa kufuatana kwa kasi sana angani, mimi swali langu ni je gharama zake zina faida au tija kwa taifa? Je mafuta yanayotumika sio kodi ya jasho la watanzania? Hebu tupia maoni yako hapa