Michuzi nae ni Usalama wa Taifa?

Michuzi nae ni Usalama wa Taifa?

Status
Not open for further replies.

Simple

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2009
Posts
249
Reaction score
121
Nauliza tu majameni?

attachment.php
 

Attachments

  • 20000.jpg
    20000.jpg
    65.2 KB · Views: 2,136
anataka Ukuu wa wilaya sasa mzee amesha anza kuaga sijuwi itatokea nafasi sijuwi
 
where is 'she' kwenye hiyo picha?
ofcoz 'she' is just a kada.
 
Bora yeye anajimudu kidogo hao wengine matumbo makubwa hivyo wanatoa security gani? Au ndio security kwa kutumia vyeti? Anyway, nategemea mtu akienda kanisani anatambua kitabu kinachotumika kusoma injili kitakuwa kitabu gani...akikuta injili inasomwa kutoka kitabu cha wana hisa wa NICOL hapo lazima ipo maneno.
 
Kwani walioambatana na kikwete ni usalama wa taifa?
Bangi mbaya sana..
 
where is 'she' kwenye hiyo picha?
ofcoz 'she' is just a kada.
Wivu wa kike, unadhani ukiandika she ndio mafanikio yake yatahamia kwa familia yenu iliyoandamwa na wimbi la dhiki?
 
Kwani walioambatana na kikwete ni usalama wa taifa?
Bangi mbaya sana..


Ndugu C.T.U unafanya hii maneno ya 'JF Senior expert member' ionekane umepewa kimakosa. Tulia, tafakari,,vuta pumzi,,shughulisha ubongo wako ukiwa umejipumzisha,,then njoo tujadili,,au vipi?
 
Ndugu C.T.U unafanya hii maneno ya 'JF Senior expert member' ionekane umepewa kimakosa. Tulia, tafakari,,vuta pumzi,,shughulisha ubongo wako ukiwa umejipumzisha,,then njoo tujadili,,au vipi?

Maana swali lako halina mashiko..
Ndio maana ni,akuuliza hao wote walioongozana na jk ni usalama wa taifa?
Hujanijibu
 
ndio! hutaki?


Kwanini nistake na zote ni kazi:
Nataka kufahamu tu, sababu nimemuona kwenye matukio mengi ya raisi na ziara zake,,hata za ughaibuni:
Lengo ni kufahamu tu,by the way,,,nakubali sana kazi zake za picha pamoja na uchesi na ukarimu wake na jinsi alivyochochea maendeleo ya blogu hapa Tanzania.
 
Maana swali lako halina mashiko..
Ndio maana ni,akuuliza hao wote walioongozana na jk ni usalama wa taifa?
Hujanijibu

Swala zima lililonifanya niulize ni sababu ndugu Michuzi anaongozana na raisi Kikwete karibu safari zote za ndani hata nje ya nchi, hio ni moja.

La pili, mawakala wengi wa usalama duniani hutumia staili hii ya waandishi wa habari kama 'undercovers'.

So, moja jumlisha mbili ndiyo imezaa swali langu:

wewe unaleta hoja ya bangi;
 
Ankal anatimiza majukumu yake ya habari kwa njia ya picha...
Ni mmoja wa wakongwe wa fani ya upigaji picha tangu magazeti ya Chama...
Pia kama sikosei ni mfuasi wa CCM (masahihisho yanaruhusiwa)...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom