Michirizi ya Damu

Michirizi ya Damu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbalizi nae anakuogopa anasema kwenda na wewe sawa lazima utumie tenzi za rohoni na bible
Hahaha
Mbalizi ni mzinguaji tuu yule ingawa ni mhenga!! Mume lazima awe na hofu ya Mungu
 
Hahaha
Sasa wewe ulikuwa nae tayari mara paaap lisiredi!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilishatafuta Baba D kasepa na kijiji sijui katekwa sijui yupo kwa maandamano kucheka cheka sitaki mie
 
Back
Top Bottom