Fareed alikua ni sh.oga mzoefu aliyekubuhu... kwa yote aliyopitia maana yake alikua ha.nithi na aliharibika sana na mpaka kujibadilisha kua mwanamke kamili...
Ingawa alijitahidi kujirudishia uanaume wake lakini sidhani kama nguvu za kiume zinaweza kurudi tena na hatimae ku-S.ex na mwanamke...
Labda kama walifanya romance peke yake...
Cc: mahondaw
Kapata tiba ya kudungwa sindano.....TUAMINI HIVYO TAFADHARI ILI Shunie ASIGHAIRI KUENDELEA
HahahaKaka ako yuko apiii mbona haonekani lazima utakuwa umeagwa
KhaaaaHahhaha yaani inabidi tu niingilie kumwombea msamaha
HahahaHahaha labda unavyosema uko na sura ya baba na roho ya baba ako
Hivi mama kule insta umenifollow huna pichahahahaa naona umekuwa mfatiliaji mzuri sana hadi raha,pongezi kwake
Hivi mama kule insta umenifollow huna pichanimekuweka kwenye foleni tu ukunda kunishunguia imi tu iwe ukunda kushunguiwa ebu niache kwanzakama huelewi nenda Google au mwambie sakayo akutafsirie
KhaaaaShikamoo dada