Michirizi ya Damu

shunii mbona sehem ya 14-18 siioni
Mkuu ebu fatilia vizuri episode zote zipooo mwisho 20
 
".....piramidi moja lililokuwa katika Mji wa Giza uliokuwa nchini Misri..."

Kipande hiki kimefanya niache kuisoma hii story.

Ina maana sasa hivi hilo piramidi halipo tena Giza na mji wa Giza haupo tena Misri au?
 
".....piramidi moja lililokuwa katika Mji wa Giza uliokuwa nchini Misri..."

Kipande hiki kimefanya niache kuisoma hii story.

Ina maana sasa hivi hilo piramidi halipo tena Giza na mji wa Giza haupo tena Misri au?
Kamuulize Nyemo sasa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…