Social medias zimekuja kuua/kuleta ushindani katika biashara ya radio na tv, sasa hivi hakuna kijana atakaa askilize michezo ya redioni aache kuvinjari TikTok.
Habari inatokea US baada ya dakika 2 au 5 imefika Tanzania, zamani watu wanasubiri taarifa ya habari kwenye tv ama radio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.