Michepuko mingine ni hatari

Michepuko mingine ni hatari

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
16,748
Reaction score
28,140
Wakuu jana mchepuko wangu umegoma kabisa kunipa haki yangu.

Madai yake ni kwamba eti nimfukuze mama watoto nyumbani then nimuoe yeye.

Yaani mimi nitupe friji nje halafu niweke deli la askirimu ndani?

No way.
update..

Wakuu mchepuko umeanza vimbwanga kuwa ndani ya week hii nisipomtimua wife basi ataenda kumtimua yeye mwenyewe .

Nimemwambia aende aone Kama sijang'oa bati la nyumbani kwao..

Kawa mpole na lipua lake Kama ngumi,,.
 
Wakuu jana mchepuko wangu umegoma kabisa kunipa haki yangu.

Madai yake ni kwamba eti nimfukuze mama watoto nyumbani then nimuoe yeye.

Yaani mimi nitupe friji nje halafu niweke deli la askirimu ndani?

No way.
Achana nae huyo mchepuko

kilicho akilini kitumie
 
Back
Top Bottom