Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,340
- 56,050
- Thread starter
-
- #121
Tatizo ni mizinga mingimingi isiyokuwa na mpangilio maalumu,hadi akiba ya maendeleo nikaanza kuingiliaNikujiangalia tu mwenyewe. Kama mwanaume wanao wanaishi vibaya na unamchepuko ubaotumbua nao hata hupati thawabu.
Piga uno la kiaskofu mizinga utaisikilizia kwa majiraniNi kweli mkuu ila kwa sisi me tunapigwa mizinga sana
ha ha ha ha haNiligundua hilo mapema nikaacha nikaona nifanye tu maisha na Mke wangu baada ya kuacha haijapita miaka mingi nikajikuta yale malengo yangu tulopanga na Mke wangu kwa kiac kikubwa yametimia japo kipato changu na cha mwenzangu nichakawaida.
Amini kila kitu kinahitaji ujitoe siku hz nikiona tako nimelitamani kitaaa hacra zote naenda malizia home faida nimeiona kubwa sana kwanza familia inastawi na upendo unaongezeka
Maisha kila mtu anastahili yke lkn michepuko cyo
ha ha ha ha haPiga uno la kiaskofu mizinga utaisikilizia kwa majirani
Eti...walai vile, ile course ya socialogy imakuharibuNifate mapenzi kwako nitayapata? Pale ni exchange tu maana hata wewe kilichokuleta kwangu sio mapenzi. Unapata unachohitaji na mimi napata nnachohitaji....deal closed. Siwezi kuwekeza kwenye mapenzi wakati siku yoyote unaweza kuamua kuniacha na kurudi kwa mkeo na mimi ukaniachia v.uzi tu.
Heshima ya maisha hii haifundishwi shule mzee baba.Tatizo ni mizinga mingimingi isiyokuwa na mpangilio maalumu,hadi akiba ya maendeleo nikaanza kuingilia
Aisee una waume wangapi?Mke/ Mme mmoja anadumaza akili....
Watatu tu kwa afyaAisee una waume wangapi?
Hahaha msiwe mnatuita vibamia bhna kihivi....Watatu tu kwa afya
Inategemea sometimes mguu ndio mkubwa kiatu kidogo, sometimes kiatu kikubwa mguu mdogo...Hahaha msiwe mnatuita vibamia bhna kihivi....
Aiseee hahahInategemea sometimes mguu ndio mkubwa kiatu kidogo, sometimes kiatu kikubwa mguu mdogo...
Tatizo michepuko yako Ni akina mwajuma ndala ndefu ndio shida mdogo wangu badili aina ya mchepuko aisee Kuna michepuko ya maaana aisee ukimiliki mpaka rahaMida yote ni kupigwa mizinga tu;nikitafakari matumizi ya mwezi mmoja najikuta hakuna la maana nililofanya zaidi ya kukaa kati na kugaramia tu.Nikitazama mbele naona mwisho ni mbaya,kutimiza malengo binafsi inakuwa changamoto.....tuishi na michepuko kwa akili,ikiwezekana acha kabisa.
Nadhani kuachana nao vizuri,ni mimi kupunguza kuwapigia simu na wao wakipiga nakuwa sipokei au nachelewa kupokea pamoja na kujiweka mbali nao;nadhani nikitumia njia hii watajiongeza.Ila nikikata mawasiliano kwa haraka wanaweza kuniharibia familia.
Eeh huyo kakufanya baba yake! Ila ndio raha ya kudate na vident hyo unakuwa baba yake pia
Matokeo yake ni majuto tu hata kwa sisi vijana. Ukishakuwa na mahusiano na watu zaidi ya mmoja ni tatizo baadae japo tunaona ni ufahari na ulijari.
Watanifanya nini sasa ha haa ha mtu michepuko 6, sasa baada ya vibano mpaka wametupa simu ili wasimpateKuna watu wanakuangalia Mara tatu tatu humu ujue!!
Lakin wanawake wamezid mtu anajua mme wa mtu lakn wana tembea naeMtu anaona ufahari kumbe anazeeka mwili mpaka ubongo