Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,513
Asante Babu Aspirin
Wajua kumpa mjukuu dose kwa kiasi
Mjukuu kukupenda atazidi
Nitakuheshimu Babu ili nizidi barikiwa
Wajua Babu sikulelewa kuogopa chochote
Maisha hayajanifundisha uoga ni chochote
Kuna wakati naona na iwe vyovyote
Nitakuheshimu Babu ili nizid barikiwa
Nashukuru kwa BAN nimejifunza wapo wanaonijali
Zaidi wanathamini uwepo wangu Jamvini
Kadri ya uwezo wangu wa kibinadamu nitajitahidi
Tuweze kuwa pamoja mengi tufanikiwe
Babu shukrani yarudishwa kwa shukrani,naomba upokee hii hapo kutoka kwa moyo wangu:
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:
Wajua kumpa mjukuu dose kwa kiasi
Mjukuu kukupenda atazidi
Nitakuheshimu Babu ili nizidi barikiwa
Wajua Babu sikulelewa kuogopa chochote
Maisha hayajanifundisha uoga ni chochote
Kuna wakati naona na iwe vyovyote
Nitakuheshimu Babu ili nizid barikiwa
Nashukuru kwa BAN nimejifunza wapo wanaonijali
Zaidi wanathamini uwepo wangu Jamvini
Kadri ya uwezo wangu wa kibinadamu nitajitahidi
Tuweze kuwa pamoja mengi tufanikiwe
Babu shukrani yarudishwa kwa shukrani,naomba upokee hii hapo kutoka kwa moyo wangu:
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:
Michelle (Today)