Michelle wetu kunani jaman!

Asante Babu Aspirin
Wajua kumpa mjukuu dose kwa kiasi
Mjukuu kukupenda atazidi
Nitakuheshimu Babu ili nizidi barikiwa

Wajua Babu sikulelewa kuogopa chochote
Maisha hayajanifundisha uoga ni chochote
Kuna wakati naona na iwe vyovyote
Nitakuheshimu Babu ili nizid barikiwa

Nashukuru kwa BAN nimejifunza wapo wanaonijali
Zaidi wanathamini uwepo wangu Jamvini
Kadri ya uwezo wangu wa kibinadamu nitajitahidi
Tuweze kuwa pamoja mengi tufanikiwe

Babu shukrani yarudishwa kwa shukrani,naomba upokee hii hapo kutoka kwa moyo wangu:
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:
Michelle (Today)
 
Asante Babu Aspirin
Wajua kumpa mjukuu dose kwa kiasi
Mjukuu kukupenda atazidi
Nitakuheshimu Babu ili nizidi barikiwa

Wajua Babu sikulelewa kuogopa chochote
Maisha hayajanifundisha uoga ni chochote
Kuna wakati naona na iwe vyovyote
Nitakuheshimu Babu ili nizid barikiwa

Nashukuru kwa BAN nimejifunza wapo wanaonijali
Zaidi wanathamini uwepo wangu Jamvini
Kadri ya uwezo wangu wa kibinadamu nitajitahidi
Tuweze kuwa pamoja mengi tufanikiwe

Babu shukrani yarudishwa kwa shukrani,naomba upokee hii hapo kutoka kwa moyo wangu:
The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:
Michelle (Today)


Kwa kibongofleva sasa:

Sasa huyu ndo Michelle sasaaa

Vile anajua kujirudi vilee,
Vile anapendwa na watu vile,
Vile anapendwa na babu vile,
Vile watu walimmisi vile...

Piga makofi kwa pamoja...pwa pwa
Ruka ruka kwa pamoja.... paa paa,
Cheza wote kwa pamoja.... haa haa
Imba wote kwa pamoja....maa maaa

Wote twende kuleee...wapiii
Kwa Michele kuleee....wapiii,
Kwenye kao lake kuleee...wapiii
Tukacheze naye..... tukaruke naye....tukaimbe nayeee.....

Babu amekaa anasikiliza....wajikuu wanacheza:clap2::clap2::clap2:

Na: Babu Asprin aka BIG BRAZA ODM!
Copyright Reserved
 
Kwa kibongofleva sasa:

Sasa huyu ndo Michelle sasaaa

Vile anajua kujirudi vilee,
Vile anapendwa na watu vile,
Vile anapendwa na babu vile,
Vile watu walimmisi vile...

Piga makofi kwa pamoja...pwa pwa
Ruka ruka kwa pamoja.... paa paa,
Cheza wote kwa pamoja.... haa haa
Imba wote kwa pamoja....maa maaa

Wote twende kuleee...wapiii
Kwa Michele kuleee....wapiii,
Kwenye kao lake kuleee...wapiii
Tukacheze naye..... tukaruke naye....tukaimbe nayeee.....

Babu amekaa anasikiliza....wajikuu wanacheza:clap2::clap2::clap2:

Na: Babu Asprin aka BIG BRAZA ODM!
Copyright Reserved

BABU MJUKUU IS BLUSHING!!! AM HAPPY AND PRAY THAT YOU LIVE LONG!!!

THANK YOU,YOU MEAN A LOT TO ME,AM BACK FOR YOU NA WAJUKUU WENGINE!!!
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
BABU MJUKUU IS BLUSHING!!! AM HAPPY AND PRAY THAT YOU LIVE LONG!!!

THANK YOU,YOU MEAN A LOT TO ME,AM BACK FOR YOU NA WAJUKUU WENGINE!!!
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:

You are welcome darling:welcome: uje huku tu:violin::lalala::drum: manake kule unaweza kupewa :ban:kwa sababu ya kuzozana na:bange: halafu tukakumisi. babu atakuwa:disapointed: kwa kuwa atamkosa mjukuu wa kum:busu afu atakuwa :A S-confused1:.


YOU KNOW WORRRAMMM SEYYYING?
 
Thats my girlie.......

Wakati mama yako anakuzaa, nilmwambia akupe jina la Michelle, akanitii. Hakika umefuata nyayo za mama yako....Utiifu.

Babu loves you coz we ni mtiifu. Dont tukana them chizissss!:clap2::clap2:

Halafu usisahau, ule mkongojo uliontumia umeshapinda, tafadhali ntumie mwingine.


Babu kwa heshima yako na LD nimefuta matusi yote ya leo,manake siku ile halikuwa tusi leo ndo nilimaanisha kutukana!!ukiliona lililobaki niambie nilitoe,nimekuja na hamu ya kupewa BAN ya maisha hapa JF,lakini Babu kanionyesha uwepo wangu hapa ni furaha yake!!!

Nitakutumia mwingine Babu huo mkongojo,wataka aina ile ile au aina tofauti?
 
babu kwa heshima yako na ld nimefuta matusi yote ya leo,manake siku ile halikuwa tusi leo ndo nilimaanisha kutukana!!ukiliona lililobaki niambie nilitoe,nimekuja na hamu ya kupewa ban ya maisha hapa jf,lakini babu kanionyesha uwepo wangu hapa ni furaha yake!!!

Nitakutumia mwingine babu huo mkongojo,wataka aina ile ile au aina tofauti?

babu anapenda na wakati bana, letea mkongojo wa dhahabu...
 
Asante rafiki. Unajua mimi ndo kwanza jana nimefukuzwa kazi kuko Misri kutokana na hasira za wananchi wangu kwa hiyo now very sensitive na hasira. Kwa hiyo jaribu kidogo kutofautisha kutofautiana bila kuonesha hasira. VoiceofReason ndo kanishauri hivyo

Pole rafiki kwa kufukuzwa kazi,hasira zitakwisha tu,kuna machache yanatukasirisha na mengi yanatupa furaha!!!VOR ni mshauri mzuri sana,uwe unamsikiliza!
 
babu anapenda na wakati bana, letea mkongojo wa dhahabu...

As you wish Babu,nitakuletea wa dhahabu,kishikio cha diamond,wabakie kusema we fisadi,manake wenye njaa wanafikiri wenzao kwa kuwa wanazo basi wameibiwa kumbe wenzao twalala masaa matatu ili maisha yawe bora na Babu afurahie wajukuu zake!!!
 
You are welcome darling:welcome: uje huku tu:violin::lalala::drum: manake kule unaweza kupewa :ban:kwa sababu ya kuzozana na:bange: halafu tukakumisi. babu atakuwa:disapointed: kwa kuwa atamkosa mjukuu wa kum:busu afu atakuwa :A S-confused1:.


YOU KNOW WORRRAMMM SEYYYING?

I KNOW WORRRRRYYYYYY BABU IS SAYING!!!! Here i come!

 
As you wish Babu,nitakuletea wa dhahabu,kishikio cha diamond,wabakie kusema we fisadi,manake wenye njaa wanafikiri wenzao kwa kuwa wanazo basi wameibiwa kumbe wenzao twalala masaa matatu ili maisha yawe bora na Babu afurahie wajukuu zake!!!

Babu yuko proud na wajukuu zake wa kike.....hawamsahau babu yao. wakipewa hela na waume zao, wanagawa nusu wanampelekea babu yao...raha gani hii. Haya ya kiume yananitatiza kweli, hata baiskeli yangu mwenyewe hayataki niuze, et yanataka nife yairithi lol!
 
images
 
Babu yuko proud na wajukuu zake wa kike.....hawamsahau babu yao. wakipewa hela na waume zao, wanagawa nusu wanampelekea babu yao...raha gani hii. Haya ya kiume yananitatiza kweli, hata baiskeli yangu mwenyewe hayataki niuze, et yanataka nife yairithi lol!

Bora umegundua Babu,yaani hawana shukrani kabisaa,wako radhi wakahonge wapate K.....lakini Babu wamsahau,mimi hata nikihongwa kama kawaida napeleka kwa Babu...l.o.l
 
Karibu sana you have been missed a lot..., Six pages is evidence of that

Na tofauti na wengine wanavyosema you are welcomed in all Majukwaa's.

JF is all about opinions na kila mtu mwenye opinion am sure has got a right to say them in any forum.., and am sure there are no experts in politics, JF photos, Sports e.t.c. we are all in the same playing field just sharing different views..

Again welcome back hope to see you soon Jukwaa la Siasa
 
Karibu sana you have been missed a lot..., Six pages is evidence of that

Na tofauti na wengine wanavyosema you are welcomed in all Majukwaa's.

JF is all about opinions na kila mtu mwenye opinion am sure has got a right to say them in any forum.., and am sure there are no experts in politics, JF photos, Sports e.t.c. we are all in the same playing field just sharing different views..

Again welcome back hope to see you soon Jukwaa la Siasa

Thanks VOR,you are one of the two men i respect in this forum,am happy even when you criticize me coz in a way you help me understand the other side of the coin while helping me become strong in discussions and analysis.....am grateful,it worth bn here with people like you!!!
Jukwaa la siasa nimepita sijaona jipya,will be back there!!!
 
Bora umegundua Babu,yaani hawana shukrani kabisaa,wako radhi wakahonge wapate K.....lakini Babu wamsahau,mimi hata nikihongwa kama kawaida napeleka kwa Babu...l.o.l

Hahahahaha...we Michelle unajua kumchekesha babu ni dhambi?

Ngoja nikachekee toilet kule nsije nikachafua mazingira hapa sebuleni LOL.:sick:
 
Karibu sana you have been missed a lot..., Six pages is evidence of that

Na tofauti na wengine wanavyosema you are welcomed in all Majukwaa's.

JF is all about opinions na kila mtu mwenye opinion am sure has got a right to say them in any forum.., and am sure there are no experts in politics, JF photos, Sports e.t.c. we are all in the same playing field just sharing different views..

Again welcome back hope to see you soon Jukwaa la Siasa
Aisee...mi ni speshalisti wa Jukwaa la MMU katika idara ya Wajukuu. Simpotezi hata mmoja.

Thanks VOR,you are one of the two men i respect in this forum,am happy even when you criticize me coz in a way you help me understand the other side of the coin while helping me become strong in discussions and analysis.....am grateful,it worth bn here with people like you!!!
Jukwaa la siasa nimepita sijaona jipya,will be back there!!!

Aisee kajukuu nshazeeka....hivi ulizaliwa Birmingham au Stoke?

Hicho kiinglishi hakikuwa kwenye silabasi yetu wakati tunasome enzi za mkoloni.

Nakumbuka tuliishie kwenye topic ya...Gudimong ticha, faini senkyu tichaa, wii aaa sitting daun senkyu ticha. Nakumbuka nilipata A ya kiinglishi. Ila hichi cha kwako ulikuwa unamaanisha Hosni Mubaraka kaingia mitini au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom