Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Mkuu nimefuatilia posts zake zote kwenye ile thread sidhani kama alitumia hasira kuliko hoja. Tena alikuwa na hoja yenye uzito ila kuna baadhi ya wachangiaji hawakukubaliana naye. Posts zake hizi hapa, angalia kama kuna yoyote inayochafua hali ya hewa. She was just trying to be critical aganist Chadema.
Sasa kama haya ndio yaliyomfanya apate ban, then there is a lot of question to be asked. Labda awe ameomba ban mwenyewe. Hata kama ameomba ban, then meaning of ban becomes meaningless.
Na huo ndo ukweli,when you are critical of them unachafua hali ya hewa! mimi najua BAN kwa asilimia 80 inatokana na hilo la kuwa critical,10% ni kumuita mtu aliyeniita LUNATIC, kumuita ASS CLOWN.....mwenye kujua slang ataelewa kuwa it simply means someone behaving foolishly,kwa kuwa sikuwa nimemtukana mtu tangu mwanzo na watu walikuwa wanatoa hoja tunaelezeana,sasa sijui kubwa ni lipi kati ya Lunatic na Assclown manake yeye hakupewa BAN,asilimia 10% labda kuna shida kwenye uelewa wa neno assclown na mengineyo!!