Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 2,906
- 3,747
- Thread starter
- #701
mkuu kwasasa tumeacha kuzalisha miche ya muda mfupi sababu kuna changamoto zimejitokeza.Tutazalisha tena pindi changamoto hizo zitakapo tatuliwa.Tunaomba radhi kwa hilo.ya pemba ina kimo gani mkuu.. niko interested ... nahitaji minazi mifupi ile ..