Ile minazi ya mbegu fupi mshaipandikiza? Kuna wakati ulisema imeisha. Na embe dodo mbegu fupi kama zipo nijulishe.Most welcome dears
Tate Mkuu Minazi mifupi tumeacha kuzalisha kwasasa, changamoto ni upatikanaji WA mbegu zake.Ile minazi ya mbegu fupi mshaipandikiza? Kuna wakati ulisema imeisha. Na embe dodo mbegu fupi kama zipo nijulishe.
Pia unifafanulie kama hizo parachichi za Burundi zinaweza kukua maeneo yenye hali ya hewa ya joto.