Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,950
- 5,692
Miti ya mbao inayopatikana kwenye vitalu vyetu ni
1.Cederella
2.Pinus
3.Eucalyptus
4.Teak
bei ya mche ni sh 2000
Ukiondoa teak ipi tena ni hard wood? Alafu bei zenu fanyeni review nakumbuka mara ya mwisho nilinunua mche 1 wa teak kwa 350 tsh. Kutoka hapo morogoro