Tunauza miche ya matunda pamoja na vifaa vya umwagiliaji

Godfrey Sway

Member
Apr 13, 2018
37
34
Usikubali Kupitwa Na Mvua Za Msimu Bila Kupanda Miti Shambani Kwako.
Msimu wa Mvua ni mzuri kwa upandaji wa miti ya matunda pamoja na Ile ya mbao kwani hupunguza gharama za umwagiliaji na mahitaji ya maji. panda Sasa kwani Hadi mvua zinakata mizizi inakuwa imeshika Ardhini vizur.

Pata Miche Ya Matunda Ya Muda Mfupi Aina Zote Kama Vile
Embe (aina zote)
chungwa
parachichi
limao
Ndimu
Chenza
pasheni
papai
stafeli
tope tope
chikichi
korosho
Pera n.k
Utapata miti mizuri kwa Bei ya tsh 2500 tu.

Miti ya Mbao pia ipo
mitiki
Mikangazi
misederera
mkongo n.k.
Piga simu Leo kwa 0752799673
Tupo Morogoro SUA.

IMG_20220123_163211_597.jpg
Screenshot_20220126-071308.jpg
Screenshot_20220109-152041.jpg
 
Jipatie Miche mizuri ya miti ya matunda aina zote pamoja na migomba kwa gharama ya tsh 2500 tu. utapata Miche kama vile Embe aina zote, chungwa, Limao, Ndimu, Chenza, Parachichi, Stafeli, papai, tope tope, Pera, pasheni, komamanga, chikichi na minazi.
Pia Migomba kama
Mzuzu.
Mtwike
mkono wa tembo
Bukoba kubwa na ndogo
Fhia.
ndizi uganda
Jamaica
Kisukari

Tupo chuo Cha Kilimo SUA Morogoro. Mikoani tunatuma kwa njia ya Bus. Piga simu 0752799673/0620286074.

IMG_20211109_164307_913.jpg
IMG_20220123_163212_655.jpg
IMG_20211203_110203_611.jpg
IMG_20220130_174231_584.jpg
 
Utapata Miche ya matunda iliofanyiwa grafting na budding yenye kukupa matokeo chanya kwa muda mfupi wa miaka 2 tu. Unaponunua Miche utapata ushauri na elimu kuanzia kupanda, matunzo Hadi mavuno. Kitaluni utapata Miche yenye ubora na iliyo tayar kuhamishiwa shambani. Tupo Morogoro Chuo Cha Kilimo SUA. Mikoani Unatumiwa mzigo wako kwa njia ya usafir wa ma bus.

Weka Oder yako Leo kupitia 0752799673/0620286074
Screenshot_20220217-073536.jpg
IMG-20220216-WA0026.jpg
Screenshot_20220126-071342.jpg
Screenshot_20210505-211649.jpg
IMG_20211031_172957_326.jpg
 
Usikubali Kupitwa Na Mvua Za Msimu Bila Kupanda Miti Shambani Kwako.
Msimu wa Mvua ni mzuri kwa upandaji wa miti ya matunda pamoja na Ile ya mbao kwani hupunguza gharama za umwagiliaji na mahitaji ya maji. panda Sasa kwani Hadi mvua zinakata mizizi inakuwa imeshika Ardhini vizur.

Pata Miche Ya Matunda Ya Muda Mfupi Aina Zote Kama Vile
Embe (aina zote)
chungwa
parachichi
limao
Ndimu
Chenza
pasheni
papai
stafeli
tope tope
chikichi
korosho
Pera n.k
Utapata miti mizuri kwa Bei ya tsh 2500 tu.

Miti ya Mbao pia ipo
mitiki
Mikangazi
misederera
mkongo n.k.
Piga simu Leo kwa 0752799673
Tupo Morogoro SUA.

View attachment 2099072View attachment 2099074View attachment 2099075
Mpapai unachukua muda gani kuzaa?
 
Je Unawaza Ni Wapi Utapata Miche Bora Ya Matunda Ya Muda Mfupi?
Piga simu Leo 0752799673

Utapata Miche iliyoandaliwa kwa utaalamu mkubwa kwa Bei ya Tsh 2500 tu.
Ukipanda Miti Msimu Huu wa Mvua ndani ya wiki 2 tuu Mizizi itashika chini Hivyo kufanya mche kuimarika na kutokukauka.

Tupo Chuo Cha Kilimo SUA- Morogoro.

Ulipo Tunakufikia.

Screenshot_20221120-190245.jpg
IMG_20221113_172844_220.jpg
Screenshot_20221114-085320.jpg
IMG_20221107_122734_788.jpg
IMG_20221106_082835_941.jpg
Screenshot_20221026-095511.jpg
IMG_20221013_103210_998.jpg
Screenshot_20220930-203300.jpg
 
Upandaji wa Miti ya matunda una faida Kubwa Sana kuanzia kwenye mazingira, muonekano, Hewa nzuri, Kuzuia upepo, Lakini Kubwa zaidi mazao yatokanayo na miti ya matunda kama vile.

Parachichi, Embe, Limao, Ndimu, Chenza, Chungwa, Papai, Pasheni, Pera, Stafeli, Tope tope n.k.
Baadhi ya Matunda kama Vile.

Papai, pasheni, Kilimo chake n rahisi na pia kinakupa faida ndani ya muda Mfupi sana. Mfano Papai n miezi 6 tuu Unaanza kuvuna, Pasheni pia ni miez 9-12 tuu unakuwa unavuna.

Kwa Upande wa Mazao mengine ambayo Miche yake n ya muda mfupi pia (miaka 2-3) kama Vile Parachichi, Embe na Ndimu. Hapa ndipo unaweza kupata faida Kubwa Sana kwa Muda mrefu.

Kinachopelekea kupata Faida Kwenye haya mazao ni namna tunavochagua Miche Bora, uandaaji wa Shamba, Mpangilio wa Shamba pamoja na Huduma stahiki za Miche kulingana na mahitaji.

Haya Yote Utapata kwetu na Gharama ya Mche ni Tsh 2500 tu.

Tupigie Leo 0752799673/0746850361

Tupo SUA Morogoro Popote Tunakufikia.

IMG_20230222_113436_859.jpg
 
Unatamani Kujifunza Nini kuhusiana na Kilimo Cha Matunda.? (...) Unakaribishwa sana Kwenye Bustani Yetu Iliyopo Hapa Morogoro SUA, Kujifunza Mengi Kuhusiana na Kilimo Cha matunda Kuanzia Uchaguzi wa Mbegu Bora, Upandaji, Huduma, kuunganisha vikonyo, mbolea na madawa, Mavuno pamoja na masoko. Kwa wale wanaoandaa Mashamba pia Tumewaandalia Miche Bora Kabisa ya matunda aina Zote yote ikiwa ni ya Muda mfupi na yenye kukupa matokeo Mazuri Shambani.
Tupigie Leo 0752799673/ 0746850361.View attachment 2591300View attachment 2591302View attachment 2591301View attachment 2591305View attachment 2591303View attachment 2591304View attachment 2591306View attachment 2591307
IMG_20230202_004048_848.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom