INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Mkuu ningependa kupanda miche ya matunda Mufindi, ni yapi yanayoweza kustawi huko? Naomba ushauri kabla sijaamua kununua miche na kuipeleka huko.
 
Mkuu ningependa kupanda miche ya matunda Mufindi, ni yapi yanayoweza kustawi huko? Naomba ushauri kabla sijaamua kununua miche na kuipeleka huko.
Mkuu Mufindi unaweza kupanda miche ifuatayo.
Strawberry
Parachichi
Komamanga
zaituni
cocoa
apple
peasi
pera
passion aina zote
makadamia etc
 
Bei ya migomba na aina yake naomba uweke pia Asante
migomba yetu imegawanyika makundi mawili.
A.migomba ambayo ndizi zake zinafaa kukaanga na kupika,nazo ni Mzuzu,mshale,Mkono wa tembo,Jamaica,Ugandagreen,William

B.migomba ambayo ndizi zake zinafaa kwa ajili ya matunda,nazo ni Mtwike,Kimalindi,Kisukari

Bei ni sh 3500.Ila ukihitaji miche kuanzia 50 unapata discount.
 
migomba yetu imegawanyika makundi mawili.
A.migomba ambayo ndizi zake zinafaa kukaanga na kupika,nazo ni Mzuzu,mshale,Mkono wa tembo,Jamaica,Ugandagreen,William

B.migomba ambayo ndizi zake zinafaa kwa ajili ya matunda,nazo ni Mtwike,Kimalindi,Kisukari

Bei ni sh 3500.Ila ukihitaji miche kuanzia 50 unapata discount.

Asante kwa muongozo!! Je discounts ya PC 80 bei gani? Na je ni pamoja na usafiri kuja pwani Bagamoyo Fukayosi.
 
Inakubali ila kuna utofauti kati ya Cocoa ya Ukanda wa Pwani na ile ya Ukanda wenye baridi.
Cocoa ya ukanda wa Pwani inawahi kuiva,ila haina matunda mengi.
Cocoa ya ukanda wenye baridi inachelewa kuiva na ina matunda mengi.

karibu boss
Bei ngapi kwa hiyo ya ukanda wa pwani/morogoro mjini!?

Sent from my SM-G925F using JamiiForums mobile app
 
Asante kwa muongozo!! Je discounts ya PC 80 bei gani? Na je ni pamoja na usafiri kuja pwani Bagamoyo Fukayosi.
kuanzia miche 50,utauziwa kila mche sh 3000 badala ya 3500
Gharama za usafir zinatofautiana mkoa mmoja na mwingine kutoka Morogoro(SUA)
kwa case ya Bagamoyo,nauli ni sh 13000 kwa pacel moja ambayo ina.miche isiyozidi 50

Mchanganuo wa nauli kwa mikoa yote:
3000 ni nauli ya boda boda kutoka SUA Mpaka Msamvu.
1000 ni malipo ya kitorori ndani ya stendi.
Inayobaki ndio nauli ya mkoa husika.
Karibu
 
FB_IMG_1619719409274.jpg
 
Asante mkuu nimekupata, naomba kujua majina ya hiyo miparachichi miwili uloweka kwenye picha, nimekuwa nikiyala Moshi ila sijui majina yao. Nimeipenda, nitakuunga mkono
Parachichi hizo zenye omba refu ni aina ya Fuerte na hizo nyingine ni Hass.
 
20210502_111247.jpg
German tea.
Hiki ni kiungo kinachotumika kwenye chai.Baada ya chemsha maji,unaweka jani moja kwenye kikombe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom