Pole sana ndugu yangu.Mniwie radhi wale wateja ambao nilishindwa kuwahudumia ipasavyo,kushindwa kupokea na kujibu sms zenu kwa wakati n.k,Nilipata msiba wa baba yangu mzazi 4/6 hivyo sikuwa na utulivu kabisa.
Kwasasa Mungu anaendelea kuniimarisha.Karibuni kwa ajili ya kuweka oda,kupata majibu ya maswali lakini pia ushauri.
Asanteni
Pole sana kiongozi... Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumuMniwie radhi wale wateja ambao nilishindwa kuwahudumia ipasavyo,kushindwa kupokea na kujibu sms zenu kwa wakati n.k,Nilipata msiba wa baba yangu mzazi 4/6 hivyo sikuwa na utulivu kabisa.
Kwasasa Mungu anaendelea kuniimarisha.Karibuni kwa ajili ya kuweka oda,kupata majibu ya maswali lakini pia ushauri.
Asanteni
Pole sanaMniwie radhi wale wateja ambao nilishindwa kuwahudumia ipasavyo,kushindwa kupokea na kujibu sms zenu kwa wakati n.k,Nilipata msiba wa baba yangu mzazi 4/6 hivyo sikuwa na utulivu kabisa.
Kwasasa Mungu anaendelea kuniimarisha.Karibuni kwa ajili ya kuweka oda,kupata majibu ya maswali lakini pia ushauri.
Asanteni
Nilitamani pia kufahamu hapo SUA mnapatikana Kampasi ipi? Main campus au Mazimbu? Kwa mteja anayetokea Mkoani anafika vipi mlipo?Kwa upande wangu,embe tamu zaidi ni red Indiana,apple mango na tommy.
Minazi ya muda mfupi ipo boss.
Bei 10000
Haya ndio mambo nayapenda, job well done 👍Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.
Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.
Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.
View attachment 1557232
View attachment 1557234
View attachment 1557237
View attachment 1557239
View attachment 1557240
View attachment 1557242
View attachment 1557243
View attachment 1557244
View attachment 1557246
View attachment 1557247
View attachment 1557248
View attachment 1557249
View attachment 1557250
View attachment 1557251
Main campus boss.Nilitamani pia kufahamu hapo SUA mnapatikana Kampasi ipi? Main campus au Mazimbu? Kwa mteja anayetokea Mkoani anafika vipi mlipo?