Unaweza kuotesha kwenye udongo wowote na ladha ikabaki ileile?Mbegu ya pemba ipo, Hii unavuna baada ya miaka 3. Lakini pia ipo Africantall, unaanza kuvuna baada ya miaka 8
rejea comment namba 1135 kupitia Uzi huu mkuu,hapo nimeelezea kuhusu minazi,hali ya hewa,Aina ya udongo n.kUnaweza kuotesha kwenye udongo wowote na ladha ikabaki ileile?
HallowMacadamia nutsView attachment 3286778
Nani alikupoteza mrembo! Au ulikuwa kwenye likizo ya uzazi!!happy New Year in advance wakuu.
Nimerudi hewani baada ya kupotea kwa muda mrefu kidogo.
Mkuu vipi unayo miche ya blueberries?Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.
Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.
Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.
View attachment 1557232
View attachment 1557234
View attachment 1557237
View attachment 1557239
View attachment 1557240
View attachment 1557242
View attachment 1557243
View attachment 1557244
View attachment 1557246
View attachment 1557247
View attachment 1557248
View attachment 1557249
View attachment 1557250
View attachment 1557251