Michapio hatari

Michapio hatari

Mangi, siyo maziwa ya pakti, nataka hayo ya chupi!
 
skelewu by Davido- alitaka kumaanisha sikuelewi
 
Buguruni na gongo la mbali wapi mboto?

Swali: Umeshawahi kumsikia samaki juu mtu chini binadamu?- Nguva
ha ha ha ha
 
NenoMichapio ya hatari lina Utata hilo...:wacko:
 
kuna siku tulikuwa tunaangalia mpira na watu ninaowaheshimu nikajisahau nikaropoka
"kesho ni misri na egypt eeh?"
 
Mchapio mkali ni ..wa mavi ya ng'ombe...kama tukifanya ranking
 
Back
Top Bottom