Michano, Punch lines special thread

wanaibuka watoto wasiojua maana ya mziki/
na usela wa misokoto michosho kwa mashabiki/
 
Sikupenda alivyonitreat/hakupenda nilivyomcare/sikupenda alivyonikiss/haku enjoy nilivyo mkwea(Dah bora tumeachana)
 
Muda hausimami masaa yanapita/
Maisha ni muvi ya kila siku na mi star kwenye picha/
One[rap science]
 
WASANII WANACHEKESHA KAMA
PICHA ZA KATUNI FEATURE YA
BAFUNI//
VESI IMESIMAMA UTADHAN MPGA NYETO KAONA PICHA YA SABUNI//


huyu Stereo ni Father wa rap
 
Dah, Tabia kweli ndo wewe?/
Wakuninyima Jicho tu nakumpa bwana Gewe?/

Nash Mc katika wimbo wake Tabia.
 
Last edited by a moderator:
Demu wako akikuita special jua kuna mtumba/
Uchawi pesa hakuna cha tunguri wala ndumba/

Niki Mbishi katika ngoma yake Michepuko
 
Nimegundua vitu viwili tofauti ni tofauti.
 
Kwetu kumekucha, kwenu kuna giza/
Nitaongea na mshua, ili daslamu muingie kwa viza/


Madee Ali
 
WASANII WANACHEKESHA KAMA
PICHA ZA KATUNI FEATURE YA
BAFUNI//
VESI IMESIMAMA UTADHAN MPGA NYETO KAONA PICHA YA SABUNI//


huyu Stereo ni Father wa rap

WASANII WANAIGIZA KAOLE CD DUKANI//KINA DADA WANAIGIZA ULOKOLE MIILI BUCHANI-B Boy Stereo.
 
Naongea lugha zaidi ya mbili niite mkalimani,wew unaloga nakuita karumanzira..!!
 
Unapata ulichoandikiwa mungu hakupi kama hataki,hata ukipora itapotea ili mradi yatimie maandishi
 
Dah, Tabia kweli ndo wewe?/
Wakuninyima Jicho tu nakumpa bwana Gewe?/

Nash Mc katika wimbo wake Tabia.

Unadai kwamba nimeshuka kiwango/nilikua mjeshi lakini sasa ni mgambo....TABIA
 
Last edited by a moderator:
WASANII WANACHEKESHA KAMA
PICHA ZA KATUNI FEATURE YA
BAFUNI//
VESI IMESIMAMA UTADHAN MPGA NYETO KAONA PICHA YA SABUNI//


huyu Stereo ni Father wa rap

Tungo Tamu ka mapaja ya kike,nakuvua ufahamu kwa watu timamu uaibike..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…