Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,460
Unafagilia mashoga we ni a.k.a OBAMA/ mla nyasi na mla poda yupi ni a.k.a MNYAMA/ (unju bin unuq)
Yaani historia ya bongo hiphop inajiandika upya kupitia huyu dogo. Namkubali sana. "aliyewachorea ramani ya maisha maskini, peni ilimgomea njiani" na 'anataka kumwomba mungu but shetani anamzidi spidi". Hivi hawa jamaa wanatoaga wapi maneno yao??peleka kitanda batani kama unapenda ukeshe baaa
sister du muda hausimami ata uivulie nguo saa.....
starmina
#Kingkong in da house umenyeni we go harder nipo na texas yes he's my brada.
Mi ni staa wa billboard na msomi mwanafalsafa/
na slaa ka wilbroad hamuoni bado mnasafa/