Michano, Punch lines special thread

Michano, Punch lines special thread

Let me pray for this people/
When they say Hip Hop is dead wakati M Lab ipo/

Songa
 
wanasema zinapitisha, mapadri na mashee hawazitaki, wamesahau kichwa kidogo kikisimama kichwa kidogo kikisimama kikubwa hakifanyi kazi. BONTA.
 
Wanasema najua sana vitu/
Nimegundua kua mwezi ni kama jua la usiku/


Rap kanisa, mi ni askofu wa kila misa/
Wanaona mpaka vipofu, ila giza/

HATARI ni kuota moto sio ndoto/
AFADHARI ni kumzaa mtoto sio choko/


Songa a.k.a Samaki Mwenye Kiu Ndani Ya Maji!
 
maisha ni kujipanga we mganga usigawe hirizi/
viongozi msizuie ganja huku mnachukua ushuru wa riz/
 
ridhiki ina kamba ivute ikupe noti/
mkulima rudi shamba DECI sikuhizi mbegu hazioti/
 
Usiende kwa mganga kisa kocha hakupi namba/
Ukiwa bosi, jamaa watasema safi hata kama ukijamba/

Sterio
 
Lyrically commit murder With no probable cause/
A Rebel of course, Ukonga's Finest, they Labeled me boss/
Higher than a cockpit, Huwezi level hii cross/
Plus in savin hip hop they be countin me for it/
Bilingual beast-wakazi
 
kumbe ulijiona kidume kwa kuwa ulipeleka sembe/
hukuwaza ulitakiwa umkune ili akuite jembe/

Roma
 
Rafiki wa kweli yukoje... ni mkimya au anayechonga/
Yule aliyekupa jina?au pengine anayekuponda? anayezuia usidondoke au anayesubiria kukuokota?/
Au ni yule ambaye ukimuudhi anakutusi kabla hajaondoka?/ Hakuna adui mbaya ka rafiki yako mwenyewe ambaye hajui.. ka yupo nawe.. au yupo kinyume na wewe/
 
For a million little pieces naweza kumcon Oprah ka James Frey/
Na watasema sitishi wakati wanaogopa nisitokee/
Waufuate mkumbo huu wa wasomi.. wa midundo na mistari/ ukiwa na nyundo mkononi.. ni rahisi kupigilia msumari/
Sio tu bongo.. mpaka Ng'ambo hakuna uhuru wa habari/ kuna uhuru wa mwenye chombo.. mitambo na mwenye mali/
Kujifanya hawasikii.. haiwasaidii.. wala haiwajengi/ unachosema ni.. kamwe IPP haitompinga Mengi/
Kwa wanaoread between the line wagoogle hiyo verse ya kwanza
 
hii sio THINGS FALL APART novel ya CHINUA ACHEBE/

Wanavutana mashati mithili ya wapiga DEBE/

Wabishi tamaa hawakati maskini wamejaa ngebe/

mateja na mihadarati mabaunsa wacha wajibebe/

usistaajabu uzuri wa jeneza ndani imesheheni maiti/

skillz bado naeneza kugeza itabidi u-fight/

hata game sio kucheza comedy Joti na Mpoki/

asie na fedha wanambeza ndo maana siku zote hatoki/

Nyota ya kweli haitafutwi siuzi sura BSS/

Jumanne Idd hakumbukwi gari yake kaifanya Taxi/

wakwapi walotamba na siku hizi wamebaki stori/

kwa mfano Mwisho Mwampamba na mshamba Saida Kaloli/
 
pigana na dhiki utafika kilele/
usione noma kama binti aliyefukuzwa na mkwewe /
 
Kwa kupost picha Insta hilo mnaongoza utasikia mjengo wangua mpya kumbe umepanga unajiongeza
Nasikia daily mko gym eti mnatakunua vifua wakati mkirudi makwenu wengi wenu mnajichubua.
 
Sibora sisi unga kuliko nyie maaa................hamna stly, hamna,swagga wala hamjui kutunga
kwakuongeza sifuri kwahilo mnaujasiri hata fidodi ya milioni mbili utasikia milllioni miambili sheeeee!!

Staminaaaa!!
 
Naona watoto wadogo bado munaichezea fasihi/hadi masharo balo wanajiita ma mc/kwenye sanaa kitambo kaa ukumbi wa DDC..
 
Napoketi kuwa kimya na nguvu ya soda/
usipokunja goti hizo ni style za kishoga/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom