niimbie usiulize ya
rado TU/
mkere FIDQ/
ukiona
hainiumizi bado ujue kwako
nimefika FULL/
nimechizika BOO/
sio
kama ninapita TU/ sijajipachika kama
STICKER nimekita kama TATTOO
1.Usi ni treat kama second class person,utakuwa unafanya fist class mistake;I am profesiona by FID Q
2.Ukinicheka sokoni,mm nakucheka shambani,chuma hufua chuma,ni mwendo wa roho mkononi; NI HAYO BY PROF J/FID Q& LANGA
ni mm nasema ni hayo tu
kipofu anataka mwanga amechoka kuona giza/ nipo uwanja wa ndege na bado sijaona viza/ unaona miujiza mbona unauliza?/ feature imegoma hata ikija hutamwona Jesus/ sina sensa ya makazi na wala sina presha muda wote mi natesa na wakazi/ tenga malazi jenga kwa wazazi/ utupu mbaya ndio maana tunauremba kwa mavazi/ SONGA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.